Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Kibwana ni gumzo kubwa ktk radio yetu Magic Fm. Mbona anataka kuifanya km Clouds Fm ya Kibonde?
Manesi wamesema hawawezi kufanya kazi na madaktari wa jeshi kwa sababu historia inaonyesha mwaka 2005 hao madaktari walikuwa kwanza wanauliza manesi namna ya kutibu, Kibwana anapinga eti manesi waongo wangesema tangu zamani.
Huyu jamaa vipi? Source: X-ray ya Magic Fm.
Manesi wamesema hawawezi kufanya kazi na madaktari wa jeshi kwa sababu historia inaonyesha mwaka 2005 hao madaktari walikuwa kwanza wanauliza manesi namna ya kutibu, Kibwana anapinga eti manesi waongo wangesema tangu zamani.
Huyu jamaa vipi? Source: X-ray ya Magic Fm.