Maghufuli ''is next level''

huyu jamaa ni waziri wa vyombo vya habari anavyopenda sifa ni muongo wa kutupwa hafai hata ujumbe wa nyumba kumi ameshalitia taifa hasara sana kwa maamuzi yake ya kibabe na machafu yasiozingatia maadili ya uongozi
tangu tupate uhuru haijawahi tokea uporaji mkubwa na wa kisayansi kama uuzaji wa nyumba
 
Mdau anamfahamu Magufuli kwa aliyoyataja hapo juu. Wewe unayemfahamu kwa upande mwingine weka hadharani unayoyafahamu tumpime. Hatutaki porojo hapa lete facts.

magufuli is a fake na ni leo ndio nime-confirm kuwa zile statistics anazotoaga kwenye hotuba zake za kisiasa nyingi ni za uongo.

nilikuwa nasikiliza wapo radio leo asubuhi akiwa anahutubia wakati wa kufungua stand ya mbezi mwisho alikaririwa akisema eti idadi ya wakazi wa dar pekee ni robo ya population ya nchi nzima!!

there's a very thin line separating magufuli & JK's attributes except the latter smiles (or snarls?) a bit more!
endeleeni kumfagilia huyu populist at your own peril!
 
..aanze na kurudisha nyumba za serikali alizojiuzia yeye mwenyewe,ndugu zake, na vimada wake, kwa bei ya kutupa.

..halafu aombe radhi kwa kupindisha mradi wa barabara na kulazimisha upitie jimboni kwake.

..baada ya hapo tutaamini kwamba sasa amekuwa msafi na mwema, na hiyo itatoa nafasi ya kumfikiria kwa majukumu makubwa zaidi.

NB:

..hivi mgogoro wake na PS wa Ujenzi mwaka 95/96 ulihusu nini?
 
Nani Kama John Pombe Magufuli..,
1.Kiongozi mchapakazi anayejituma
2.Kiongozi ambaye hajajilikimbizia mali, tujiulize magufuli anamiliki kampuni gani..?
3.Anatanguliza mbele maslahi ya Taifa, na maslahi ya chama. kwani hajihusishi na makundi kuleta mgawanyiko katika chama
4.Kiongozi anyesimamia ukweli na mwenye msimamo thabiti..!
5.Kiongozi huyu hatumii pesa kujisafisha au kujijengea njia kuwa raisi 2015, zaidi ya uongozi wake bora na sio kumwaga fedha na kuunda mitandano au makundi
6.Anajiamini (self confident) hatawachekea mafisadi na wazembe serikalini, na hata wananchi wavivu na wabishi mfano wa kigamboni waliombishia kuhusu nauli, watanzania tunapendwa kubebwa kila wakati kwenye sehemu ambako hatubebeki, ndio chanzo kikubwa cha umaskini
7.Ni mfuatiliaji mzuri wa matatizo, kama alipanda lori na kujifanya abiria kukamata wanaochukua rushwa kwenye mizani,..kiongozi gani ambaye atakuwa tayari kufanya jambo kama hili serikalini..? zaidi ya kuandaa warsha na vikao kutatua matatizo

Napenda kumfananisha John Magufuli na Paul Kagame, kwa style zao za uongozi bora na kupambana na ufisadi,rushwa na hujuma dhidi ya taifa...!

Magufuli ameweza kuwa mtu pekee mwenye kukiletea heshima chama cha mapinduzi (ccm), kama kufanikisha ushindi Igunga,na pia atakuwa ndio striker kwnye uchaguzi Arumeru..,kweli anatimiza Ilani ya CCM kwa asilimia 100..!

Watanzania Kama tunapenda maendeleo, tumpe moyo viongozi kama hawa wenye kujituma na kutetea maslahi ya Taifa...!
Ningepanda nishauri Mh.John Magufuli apewe Ulinzi maalumu maanake wasije wakamfanyia mabaya hasa wale wanaokamia urasi 2015..! kwakuwa wanaamini ni tishio kwao

Kutolimbikiza Mali sio kigezo cha kiongozi bora! amka kutoka kwenye usingizi wa ujamaa, ulifail!
 
Hakuna waziri muongo kama Magufuli..kwa wasio mjua ndio mnaona ana chapa kazi..kelele nyiingii lakini hamna kitu pale..wale wale tu!!

Je unaweza kueleza tangu awamu ya tatu iingie madarakani mpaka awamu ya nne, ni waziri gani aliye imudu vema Wizara ya ujenzi na Miundombinu?
 
Mkuu, tujuze ni mwongo kivipi?

Tanzania hatutafuti kuongozwa na Mtakatifu so hata Magufuli ana mapungufu yake be it mademu,kupenda media,etc kama baadhi yetu! Issue ni je ana uwezo wa ku-address key issues zinazotusibu kwa sasa?jibu ni ndiyo!
Tatizo Kubwa hapa sio eti yeye akafanye hizo Kazi! We need decision makers kama boss wa Chelchea! - to hire right people and fire watu kama Kalaghe - TBS,Jairo,yule mbena wa TANAPA,etc

And that he surely can -this has to be an inborn trait!Alisha tuonesha kwenye Magari ya Serikali,TANROARDS, so aliye mwaminifu kwa lililo do go tutampa Kubwa!

Ya nyumba za Serikali hatutamsamehe kabisa hata kama Mkulunwakqti ule -ndo alikuwa behind, so we give him presidency as an opportunity to reverse that poor decision man a ndo atakuwa ana call the shots!
 
Hata kama ni aina fulani ya kampeni lakini nafikiri iko sawa maana inaendana na kauli ya wahenga "Chema chajiuza, kibaya chajitembeza." Mafisadi ni lazima watumie nguvu nyingi (pamoja na pesa) maana hawakubaliki, bali wachapa kazi na waadilifu kama Dr. J. P. Magufuli matendo yao yanawasemea.

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni JAMANI
 
Ni Mgombea yupi wa CCM ambaye hakupewa sifa hizo zote anazopewa Maghufuli na pengine hata zaidi!

  • Mnakumbuka sifa alizopewa Mwinyi mwaka 1985 alipoteuliwa kugombea Uraisi kwa mara ya kwanza?
  • Mnakumbuka sifa alizopewa Mkapa mwaka 1995 alipoteuliwa kugombea Uraisi kwa mara ya kwanza?
  • Mnakumbuka sifa alizopewa Kikwete mwaka 2005 alipoteuliwa kugombea Uraisi kwa mara ya kwanza?
Mwaka 1985 tulidanganywa, mwaka 1995 tukadanganywa tena, mwaka 2005 tukazidi kudanganywa na mwaka 2015 mnataka tuzidi kudanganywa tena?

  • Mwinyi tuliambiwa mpole na mwenzetu, akawaruhusu wezi hadi kuigeuza Ikulu kama kibaraza chao!
  • Mkapa tuliambiwa mkimya na Mr. Clean, kimya akachafua na kuitumia Ikulu kama mtaji wa kibiashara!
  • Kikwete tuliambiwa ni handsome na chaguo la mungu, washikaji na wabia wake wezi wakaiteka Ikulu!
Leo mwali Maghufuli atembezwa kama next level lakini tayari kaanza kwa kuuza nyumba, kitabakia nini jamani? Tutaishi wapi ndugu zangu!
 
kwani ile kampuni ya victoria one ya mabasi kule mwanza ni ya nani,kama si ya magufuli ,huyu fisadi tu
 
Nani Kama John Pombe Magufuli..,
1.Kiongozi mchapakazi anayejituma
2.Kiongozi ambaye hajajilikimbizia mali, tujiulize magufuli anamiliki kampuni gani..?
3.Anatanguliza mbele maslahi ya Taifa, na maslahi ya chama. kwani hajihusishi na makundi kuleta mgawanyiko katika chama
4.Kiongozi anyesimamia ukweli na mwenye msimamo thabiti..!
5.Kiongozi huyu hatumii pesa kujisafisha au kujijengea njia kuwa raisi 2015, zaidi ya uongozi wake bora na sio kumwaga fedha na kuunda mitandano au makundi
6.Anajiamini (self confident) hatawachekea mafisadi na wazembe serikalini, na hata wananchi wavivu na wabishi mfano wa kigamboni waliombishia kuhusu nauli, watanzania tunapendwa kubebwa kila wakati kwenye sehemu ambako hatubebeki, ndio chanzo kikubwa cha umaskini
7.Ni mfuatiliaji mzuri wa matatizo, kama alipanda lori na kujifanya abiria kukamata wanaochukua rushwa kwenye mizani,..kiongozi gani ambaye atakuwa tayari kufanya jambo kama hili serikalini..? zaidi ya kuandaa warsha na vikao kutatua matatizo

Napenda kumfananisha John Magufuli na Paul Kagame, kwa style zao za uongozi bora na kupambana na ufisadi,rushwa na hujuma dhidi ya taifa...!

Magufuli ameweza kuwa mtu pekee mwenye kukiletea heshima chama cha mapinduzi (ccm), kama kufanikisha ushindi Igunga,na pia atakuwa ndio striker kwnye uchaguzi Arumeru..,kweli anatimiza Ilani ya CCM kwa asilimia 100..!

Watanzania Kama tunapenda maendeleo, tumpe moyo viongozi kama hawa wenye kujituma na kutetea maslahi ya Taifa...!
Ningepanda nishauri Mh.John Magufuli apewe Ulinzi maalumu maanake wasije wakamfanyia mabaya hasa wale wanaokamia urasi 2015..! kwakuwa wanaamini ni tishio kwao

Ile nyumba ya Natianal Hausing Boko kajichukulia tu yeye pamoja na mafisadi webgine kina Membe Zakia n.k......
Ilhali zile nyumba zilijengwa kwa ajili ya walala hoi!!!! tena wala hakai ni mara moja moja sana huenda weekend eti kupumzika!!!
Fisadi tu, atawaambia nini Mafisadi wengine wamwogope !! kashindwa kuywakemea sasa analamba tu uhondo wao!
 
Mimi alichonifurahisha zaidi ni kupindisha ujenzi wa Barabara ili ipite jimboni kwake Chato, hii ilikuwa safi kabisa. Mbunge yeyote anatakiwa awapiganie wapiga kura wake kwanza, wapiga kura wa Rais, halafu mwisho ndio Chama.
 
Ukweli ni kwamba Magufuli ni mchapakazi, mfutiliaji, anajiamini, hana woga wala longolongo, haoni haya kuwaonea haya wazembe, wavivu, wezi na wadanganyifu. Katika CCM ya leo, Magufuli anaweza kabisa kuuzika na kukubalika kwa wananchi.

Ukitaka kujua ufisadi wa Magufuli nenda Chato ukajionee.....................
Mleta madakasema hamiliki kampuni ila anamiliki kivuko kule kwao sasa sijui hicho kivuko kinamilikiwa kama unavomiliki baiskeli sijui????
Haka kajamaa kafisadi kakubwa sana kanamiliki vviwanja kule chato karibia robo kama sio nusu ya mji, kamejenga majumba kule chato kama mia moja na yamekosa wakaaji yapo tu sijui hilo nalo ni nini??
Kajamaa kamewapa wachina mikataba ya kutenduneza barabara kwa rushwa matokeo yake barabara hata haijakabidhiwa tayari ina mashimo na matuta amabayo hayapo kwenye design kanapiga % yake alafu wachina wanapeta na mabilioni anayebishi akaone barabara ya Kyaka-Kemondo (mfano tu)
Hivi uuzwaji wa nyumba za serekali ulikwendaje chini ya magufuri????
Na hivi lile sakata la kusafirisha boti toka dar kwenda mwanza halikuwa na mkono wa ufisadi kweli???

POmBe !
 
mshenzi huyo ameuza nyumba za serikari na yeye kajiuzia pamoja na Girlfriend wake watanzania mbona wepesi wa kusahau????????????
Magufuli ni KINEGA tu..............................
 
Nani Kama John Pombe Magufuli..,
1.Kiongozi mchapakazi anayejituma
2.Kiongozi ambaye hajajilikimbizia mali, tujiulize magufuli anamiliki kampuni gani..?
3.Anatanguliza mbele maslahi ya Taifa, na maslahi ya chama. kwani hajihusishi na makundi kuleta mgawanyiko katika chama
4.Kiongozi anyesimamia ukweli na mwenye msimamo thabiti..!
5.Kiongozi huyu hatumii pesa kujisafisha au kujijengea njia kuwa raisi 2015, zaidi ya uongozi wake bora na sio kumwaga fedha na kuunda mitandano au makundi
6.Anajiamini (self confident) hatawachekea mafisadi na wazembe serikalini, na hata wananchi wavivu na wabishi mfano wa kigamboni waliombishia kuhusu nauli, watanzania tunapendwa kubebwa kila wakati kwenye sehemu ambako hatubebeki, ndio chanzo kikubwa cha umaskini
7.Ni mfuatiliaji mzuri wa matatizo, kama alipanda lori na kujifanya abiria kukamata wanaochukua rushwa kwenye mizani,..kiongozi gani ambaye atakuwa tayari kufanya jambo kama hili serikalini..? zaidi ya kuandaa warsha na vikao kutatua matatizo

Napenda kumfananisha John Magufuli na Paul Kagame, kwa style zao za uongozi bora na kupambana na ufisadi,rushwa na hujuma dhidi ya taifa...!

Magufuli ameweza kuwa mtu pekee mwenye kukiletea heshima chama cha mapinduzi (ccm), kama kufanikisha ushindi Igunga,na pia atakuwa ndio striker kwnye uchaguzi Arumeru..,kweli anatimiza Ilani ya CCM kwa asilimia 100..!

Watanzania Kama tunapenda maendeleo, tumpe moyo viongozi kama hawa wenye kujituma na kutetea maslahi ya Taifa...!
Ningepanda nishauri Mh.John Magufuli apewe Ulinzi maalumu maanake wasije wakamfanyia mabaya hasa wale wanaokamia urasi 2015..! kwakuwa wanaamini ni tishio kwao

[ lakini alilipoti kazini siku ya jumapili. wewe unapata picha gani kwa waziri kulipoti kazini jumapili? shika kitakatifu siku ya mungu. Yeye alidhalau na kujifanya amri hiyo haina makali kwakwe. ndio maana miradi yote ya barabara aliyoisimamia tangia aingie madarakani ni low quality. kama angekuwa kocha ni kocha afundishae mpira bila fomesheni!
 
Shika kitakatifu siku ya mungu. kama ameshindwa kuitii amri ya mungu na kushika yasemayo kanisani, kweli ataweza kutii sheria za katiba na kufanyia kazi yale yaliyomo?
 
Mtahangaika sana lakinii urais Kama hasimami magufuli Chadema wanachukua nchi...


President John Pombe Magufuli .
 
Ni Mgombea yupi wa CCM ambaye hakupewa sifa hizo zote anazopewa Maghufuli na pengine hata zaidi!

  • Mnakumbuka sifa alizopewa Mwinyi mwaka 1985 alipoteuliwa kugombea Uraisi kwa mara ya kwanza?
  • Mnakumbuka sifa alizopewa Mkapa mwaka 1985 alipoteuliwa kugombea Uraisi kwa mara ya kwanza?
  • Mnakumbuka sifa alizopewa Kikwete mwaka 2005 alipoteuliwa kugombea Uraisi kwa mara ya kwanza?
Mwaka 1985 tulidanganywa, mwaka 1995 tukadanganywa tena, mwaka 2005 tukazidi kudanganywa na mwaka 2015 mnataka tuzidi kudanganywa tena?

  • Mwinyi tuliambiwa mpole na mwenzetu, akawaruhusu wezi hadi kuigeuza Ikulu kama kibaraza chao!
  • Mkapa tuliambiwa mkimya na Mr. Clean, kimya akaigeuza na kuitumia Ikulu kama mtaji wa kibiashara!
  • Kikwete tuliambiwa ni handsome na chaguo la mungu, washikaji na wabia wake wezi wakaiteka Ikulu!
Leo mwali Maghufuli atembezwa kama next level lakini tayari kaanza kwa kuuza nyumba, kitabakia nini jamani? Tutaishi wapi ndugu zangu!

Mag3,

..kama ni ufuatiliaji na uchapakazi basi hata Nalaila Kiula alikuwa ni zaidi ya Magufuli.

..ujenzi wa barabara ya Dar-Chalinze-Segera-Tanga na Segera-Moshi ulifanyika wakati wa Kiula.

..pia most of the work ya barabara ya kwenda kusini, mpaka ku-secure pesa toka Kuwait Fund ilikuwa ni wakati wa Nalaila Kiula.

..hata daraja la mto Rufiji, Kiula anastahili pongezi kwa kulihangaikia.

..Nalaila Kiula alishitakiwa kwa kuiingizia serikali hasara ya bilioni 11. sasa hebu linganisha na hasara aliyotuingiza Magufuli kwa kuuza nyumba za serikali na kuvunja kituo cha mafuta kule mwanza.
 
Tafuta CV yake vizuri hasa jimbo analotoka na yale ya jiarani. Inavyooneka wewe unamona akitenda kazi kwa kuhutubia tu jukwaani, yani namaanisha unafurahia talalila zake kwa kumwona kwenye tv.


Unasema hajajilimbikizia mali, fanya utafiti vizuri nenda kwao huko mwanza amejijengea kakijiji.

ni mbinafsi,

Ni mwenye kulipza kisasi,

na mwenye upendeleo katika nafasi anyokuwa nayo

ni mbabe hata ndani ya familia yake!!!!!!!!!!
 
Hivi John "Pombe" Maghufuli, atajibuje wananchi watakapomwuliza, "Pombe, ulikuwa wapi wakati mali za taifa zinaliwa na mafisadi? Ulifanya nini wakati EPA, Richmond, Dowans, Safari za Kikwete nje ya nchi, giza kwa kukosa umeme nk zimeshika moto? Je ulikemea? Wizara zikihonga wabunge bajeti zipite, wizara yako ilisalimika? Je, ulisema hapana? Wananchi walipoililia serikali kuhusu matitazo mbali mbali, uliwajibuje? Au ndio yale yale walipolilia mkate ukawaambia wale keki?"

Anayempenda John "Pombe" Maghufuli akanywe naye pombe, lakini hii ya kumpa Uraisi ni kama utani vile!
 
Back
Top Bottom