Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- According to the dataz, jana ni Waziri Maghembe pekee aliyewagomea Wabunge wa Kokus ya CCM huko ndani kwamba hataandika barua ya kuachia ngazi kama wenziwe, akaambiwa basi asubiri tu kufukuzwa kazi!
- More Dataz ni Mkulu amesharudi Dar leo na Emirates, na tayari ameshashuka Dodoma na Jumatatu mambo yatakuwa hadharani! STAY TUNED!
WAZEE WA SAUTI YA UMEME!; ES!
Emirates?
Kandege kake kamekufa tena au kana limitation ya
wapi kaende na wapi kasiende?