VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Mkuu kwa kuangalia Semantics baada ya Swali la TANMO kuna neno linasema JIBU LANGU sasa huoni kuwa hilo jibu linatoka kwa mlengwa.. ambaye ndie anajibu shutuma au ? kama sio hivyo basi kuna impostor ambaye anajifanya yeye ndio muhusikaHii habari Maggid aliileta hapa na sio yeye alieipost kule kwa shigongo sisi wenye majina halisi tutakoma kujibishana na maroboti!