arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Mungu atamnusuru yeye na sie inshallah.
majjid amedai mwanafunzi wake ndiye aliyeweka izo picha...hapo 2mekuelewa, lkn naamini ulikuwa unafaham kuwa kuna tamasha lingine la vinega ambalo lina shindana na clouds, kwa nn majjid alipoona picha za tamasha la clouds hakuhoji za vinega zitafutwe na ziwekwee?Mungu atamnusuru yeye na sie inshallah.
mimi namlaumi kwa kuandaa shindano la wabunge bila kuonesha vigezo
sikuwai kufikiri kuwa mjenge anaweza kuzembea kiasi hiki