Jamani naomba tuanze kampeni rasmi kwa ajiri ya uchaguzi ujao nchini Tanzania bila ya kujali chama.kuna mwamko mkubwa sana duniani kwa kufanya vijana wawe viongozi wa leo.kwa kuanzia ni lazima kuanza kuweka viongozi wapa kabisa kwani viongozi walewale wameshidwa kufanya kazi.Tanzania inakaribia kufikisha miaka 50 tangu tupate uhuru,zaidi ya mashirika na tasisi 500 za taifa zimeuzwa kwa bei ya ubwete kabisa na baada ya kuuza kila kitu hakuna dili tena kwani zamani walikuwa wanapata pesa kutoka kwenye mashirika ya umma na sasa wengi wa viongozi hao baada ya kuuza kila kitu wanafanya ufisadi wa kwa njia ya TENDA,MIKATABA YA ULAGHAI na mambo mengine ya kiufisadi,fisadi.
Uchaguzi unaokuja ni kuwaondoa viongozi wote tukianzia na wabunge waliokaa madalakani muda zaidi ya miaka 10 kwani wabunge ndio wanakua mawaziri baada ya uchaguzi,tuchague vujana bila ya kujali chama,na slogan yetu iwe VIJANA TAIFA LA LEO NA SI KESHO.Ananteni naomba mniunge mkono kuanzisha rasmi kampeni kabambe ya kuondoa VIGOGO WOTE
Uchaguzi unaokuja ni kuwaondoa viongozi wote tukianzia na wabunge waliokaa madalakani muda zaidi ya miaka 10 kwani wabunge ndio wanakua mawaziri baada ya uchaguzi,tuchague vujana bila ya kujali chama,na slogan yetu iwe VIJANA TAIFA LA LEO NA SI KESHO.Ananteni naomba mniunge mkono kuanzisha rasmi kampeni kabambe ya kuondoa VIGOGO WOTE