CCM walikuwa wakisema: vijana ni taifa la kesho, sasahivi msemo huu wameuondoa kwa sababu naamini wameona umuhimu wa vijana ku-speed up maendeleo ya taifa
Ktk dunia hii ya technologia, mabadiliko ya kasi ya kisiasa na uchumi, naamini kabisa mzee kama Kingunge hawezi kabisa ku-cope na kasi na mabadiliko yanayotokea duniani.
Mwana siasa aliyezaliwa miaka ya 50 hadi sasa atakuwa na miaka zaidi ya 65, anatakiwa astahafu kazi, kwanza atakuwa amechoka kimwili, akili na piority zake ni za kizamani na atakuwa na fikra mgando na mawazo ya karne ya 19
Dr. Slaa ni mfano wa wazee waliozaliwa wakati wa ukoloni, zidhani kama anajua kutumia computer, ukimuangalia kwenye mfuko wake wa shati umetuna makaratasi na kalamu kubwa ya Biki, hafahamu kabisa kuwa niwakati wa kutumia Hi-pod, laptop nk....
Maelezo ya Zito kuwa wazee wa namna hiyo hawawezi kuleta mabadiliko, nilazima yajadiliwe kitaalam bila jazba, ni kwanini bado tuamini kuwa wazee kama kina Slaa na kingunge watatuletea chamaana kuliko vijana kama Mbowe,Zitto nk....??????
Ktk dunia hii ya technologia, mabadiliko ya kasi ya kisiasa na uchumi, naamini kabisa mzee kama Kingunge hawezi kabisa ku-cope na kasi na mabadiliko yanayotokea duniani.
Mwana siasa aliyezaliwa miaka ya 50 hadi sasa atakuwa na miaka zaidi ya 65, anatakiwa astahafu kazi, kwanza atakuwa amechoka kimwili, akili na piority zake ni za kizamani na atakuwa na fikra mgando na mawazo ya karne ya 19
Dr. Slaa ni mfano wa wazee waliozaliwa wakati wa ukoloni, zidhani kama anajua kutumia computer, ukimuangalia kwenye mfuko wake wa shati umetuna makaratasi na kalamu kubwa ya Biki, hafahamu kabisa kuwa niwakati wa kutumia Hi-pod, laptop nk....
Maelezo ya Zito kuwa wazee wa namna hiyo hawawezi kuleta mabadiliko, nilazima yajadiliwe kitaalam bila jazba, ni kwanini bado tuamini kuwa wazee kama kina Slaa na kingunge watatuletea chamaana kuliko vijana kama Mbowe,Zitto nk....??????