akilimtindi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 421
- 83
Kwa muda mfupi tu Magessa aliokaa Arusha ameshaonyesha upumbavu wake kwa kiwango kikubwa, inaonyesha wazi hana siku nyingi alternative zitamwishia. Tunamsikia anabwata sana, tutamwona nguvu yake itaenda umbali gani. Aliyempa kazi mwenyewe sasa hivi suruali hazikai kiunoni kwasababu mambo ni magumu mno.