Erick G. Mkinga
Member
- May 19, 2011
- 62
- 5
magdalena yupo SAHIHI kama aliwatetea kwa kufuata sheria,,..Isije kuwa aliandamana pasipo sababu halafu anajifanya anawatetea wanyonge,,.maana sasa hivi watu wanavunja sheria wanazingizia Nguvu ya UMMA,sasa kwa mpango wa namna hii mbona nchi haita tawalika.