Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Ni mbunge wa CUF viti maalum, mbunge pekee wa viti maalum wa CUF aliye active bungeni. Magdalena Sakaya kwa kweli ananifurahisha sana akisimama bungeni na kuongea. She talks sense and she means business. Hata akiwa hewani kwenye radio au tv yaani anaongea kitu kinaingia akilini. Na anaonekana anajielimisha vya kutosha, pengine siyo mmoja kati ya wale wanaosubiri kuandaliwa cha kusema bungeni!
Nimekuwa nikijiuliza kama angekuwa Chadema angeweza kufanya mengi zaidi kiasi gani. Kwa maana ya kwamba I feel she is being under utilized huko aliko.
Nimekuwa nikijiuliza kama angekuwa Chadema angeweza kufanya mengi zaidi kiasi gani. Kwa maana ya kwamba I feel she is being under utilized huko aliko.