getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Habari zenu wadau.
Naomba kujua mchango chanya kihabari utolewao na magazeti haya ya udaku mfano Ijumaa, Kiu, Risasi, Amani na mengineyo!
Pia kwa wanaofahamu kiwango cha kielimu cha waandishi wake. Binafsi huwa ninakerwa na heading zao na uhalisia wa habari zilizo ndani.
Mno ni waongo kuliko maelezo je serikali haioni? Nijuzeni tafadhari wadau.
Naomba kujua mchango chanya kihabari utolewao na magazeti haya ya udaku mfano Ijumaa, Kiu, Risasi, Amani na mengineyo!
Pia kwa wanaofahamu kiwango cha kielimu cha waandishi wake. Binafsi huwa ninakerwa na heading zao na uhalisia wa habari zilizo ndani.
Mno ni waongo kuliko maelezo je serikali haioni? Nijuzeni tafadhari wadau.