jaman imepita muda mrefu sasa haya magazet ya alasir na dar leo cjapata kuyaona cjajua n kp klchowasb..wana jamii naomba mnsaidie kwa mnaofahamu kwa nn magazet haya hayapo?
Gazeti la Dar leo bado lipo sema labda mitaa unayopatikana huwa hayapatikani, Alasili ni kama gazeti la LETE RAHA ambalo mzee wetu kaamua kuacha kulichapisha kwani mwanasport limemwalibia kbs, Crashwise gazeti la nipashe lipo bana labda huko A town gorika lilichelewa kufika
Yatakuwa yamekufa natural death kutokana na maendeleo ya teknolojia. Lolote linalotokea huwa linarushwa kwenye blogs na websites kama breaking news. Sasa mtu anunue gazeti la Alasiri la nini wakati habari zao zote kazisoma mtandaoni akiwa ofisini.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.