Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Magazeti mengi ya leo 19/07/2012 yametoa taarifa ya iadadi ya abiria waliokuwemo kwenye meli, wanaohofiwa kufa, maiti zilizopatikana, waliookolewa, na ambao hawajaonekana. Cha kushangaza takwimu hizi zinapishana kwa asilimia kubwa sasa je hivi tatizo liko wapi? Kwa watoa takwimu kuwa wengi? Au kwa waandishi wetu wa habari?