Wadau,
Kuna haya magazeti ya uhuru,jambo leo na habari leo.Imekuwa ni ajabu kwani ni lazima kila siku kuwe na heading kubwa inayouza gazeti inayohusu chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.Nimekuwa nikijiuliza wasipoandika chadema hawauzi?? Katika nchi hii kuna vyama vya siasa 18,ina maana ni chadema tu inaonekana?? Ninashangaa gazeti la uhuru badala ya kuandika mambo ya chama chake CCM imekuwa ni wimbo wa Taifa Chadema.Habari leo badala ya kuandika habari za Taifa kama gazeti la serikali imekuwa kila siku ni Chadema.Gazeti jambo leo lenye uhusiano na CCM badala ya kuhangaika kusafisha chama chake limekuwa kila siku ni Chadema.Hivi hawa wahariri hawaoni aibu?? Hivi mnadhani msipoandika chadema hamtauza habari? Kwa mfano leo magazeti yote matatu Uhuru,Habari leo na Jambo leo yana heading moja inayofanana kuhusu chadema.Inaonekana ni mtu mmoja nayesambaza habari za chadema kwenye haya magazeti matatu.Hakika inakera!!
Nawasilisha
Kuna haya magazeti ya uhuru,jambo leo na habari leo.Imekuwa ni ajabu kwani ni lazima kila siku kuwe na heading kubwa inayouza gazeti inayohusu chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.Nimekuwa nikijiuliza wasipoandika chadema hawauzi?? Katika nchi hii kuna vyama vya siasa 18,ina maana ni chadema tu inaonekana?? Ninashangaa gazeti la uhuru badala ya kuandika mambo ya chama chake CCM imekuwa ni wimbo wa Taifa Chadema.Habari leo badala ya kuandika habari za Taifa kama gazeti la serikali imekuwa kila siku ni Chadema.Gazeti jambo leo lenye uhusiano na CCM badala ya kuhangaika kusafisha chama chake limekuwa kila siku ni Chadema.Hivi hawa wahariri hawaoni aibu?? Hivi mnadhani msipoandika chadema hamtauza habari? Kwa mfano leo magazeti yote matatu Uhuru,Habari leo na Jambo leo yana heading moja inayofanana kuhusu chadema.Inaonekana ni mtu mmoja nayesambaza habari za chadema kwenye haya magazeti matatu.Hakika inakera!!
Nawasilisha