..ZNZ ni nchi siyo wilaya au mkoa wa Tanzania Bara. Kwa msingi huo basi ni makosa kuendesha gari lenye number plate ya ZNZ ukiwa Tanzania Bara.
..wa-Zenj wanadai kwa ZNZ ni nchi, lakini wakifanya makosa yanayolingana na uhaini na wakashtakiwa wanageuka na kudai Zenj siyo dola/nchi.
..You can not eat your cake and have. Kama Wa-Zenj wanataka kufaidi matunda ya huku Tanzania Bara basi ni vizuri wakakubali ku-surrender utaifa wao.
..Muungano imekuwa kama kuchezeana akili tuu. we need some serious discussions on how we move forward.
..wa-Zenj wanadai kwa ZNZ ni nchi, lakini wakifanya makosa yanayolingana na uhaini na wakashtakiwa wanageuka na kudai Zenj siyo dola/nchi.
..You can not eat your cake and have. Kama Wa-Zenj wanataka kufaidi matunda ya huku Tanzania Bara basi ni vizuri wakakubali ku-surrender utaifa wao.
..Muungano imekuwa kama kuchezeana akili tuu. we need some serious discussions on how we move forward.