Mkwanga Senior Member Dec 6, 2010 146 19 Oct 13, 2012 #1 magari mawili yamegongana na kuwaka moto km 24 kabla ujafika chalinze gari moja lilikuwa la mafuta na kusababisha foleni kwa magar yaendayo mikoani
magari mawili yamegongana na kuwaka moto km 24 kabla ujafika chalinze gari moja lilikuwa la mafuta na kusababisha foleni kwa magar yaendayo mikoani
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,593 52,284 Oct 13, 2012 #2 Poleni. hii nchi kila jambo linakwenda hovyo.