Ndugu,
Mimi nipo UK na Nampango wa kurudi nyumbani hivi karibuni, napenda kununua gari ambalo ninaweza kuliuza kwa urahisi au ambalo limekaa kibiashara kwa mazingira ya kiTanzania.Hivyo basi napenda kuwaomba ushauri wana JF wenzangu ni gari gani ninaweza kununua na kuliuza kwa urahisi nikifika Tanzania au ni magari gani yapo kwenye mahitaji kwa sasa?
Natumaini nitapata ushauri mzuri na wenyekufaa
Natanguriza shukrani zangu
MwanaJF
Mimi nipo UK na Nampango wa kurudi nyumbani hivi karibuni, napenda kununua gari ambalo ninaweza kuliuza kwa urahisi au ambalo limekaa kibiashara kwa mazingira ya kiTanzania.Hivyo basi napenda kuwaomba ushauri wana JF wenzangu ni gari gani ninaweza kununua na kuliuza kwa urahisi nikifika Tanzania au ni magari gani yapo kwenye mahitaji kwa sasa?
Natumaini nitapata ushauri mzuri na wenyekufaa
Natanguriza shukrani zangu
MwanaJF