Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
wakuu nimeshuhudia mkasa mmoja ambao umenisukuma kuja kuuleta hapa jamvini ili tuweze kuelimishana. Nina mshkaji wangu mmoja alinunua gari kwa jamaa sasa ameichoka akaamua kuiuza. katika kutafuta mteja akampata afisa mmoja wa usalama,wameelewana bei kila kitu mwisho ikafikia wakati wa kukabidhiana documents. Afisa kachukua documents akasema azihakikishe, kilichotokea kwanza kadi ya gari yenyewe ilikuwa kanyaboya (fake) pili engine # na ile iliyoandikwa kwenye kadi tofauti, tatu chasis # imemiss tarakimu, jamaa kaponea chupuchupu kulala sero...sasa ninachotaka kujua kabla hujaenda TRA kuhakikisha je utajuaje documents ni fake?.......nimesikia hata shipping documents watu wanafyetua...help pls