Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Mwanzoni nilizani ni traffic wadogo wenye kupenda rushwa la hasha naomba niwape hiki kisanga kimetokea saa saba mchana leo hii pale tazara
nikiwa natoka gongo la mbali traffic akawa anaita ilipofika gari la tatu mbele yetu tukaona anaondoka ..tukiwa tunapita gafla akasimamisha gari yetu...dreva akashuka akaeleekezwa kwenye toyota premio ya dada mmoja traffic ..alipofika akaambiwa jamaa chini ya alfukumi wanamwandikia nikamwambia mwambie 3000 tu...alipowafwata wakamwambia mwite huyo bosi wako
hamad nilipofika nikakuta mzee mmoja si mzee sana akiwa na nyota zake kaka kwa nyuma...jamani jamani yaani tunabishana na traffic yule bosi anaangalia ..nikamwambia sina akaenda nyuma ya gari akaanza kuandika alipomaliza akanletea na kutaka nikalipe alfu arubaini nikamwambia nalipa central naomba niende nayo akawa anantishia ataita gari la break down kubeba gari yangu nikamwambia kabla ajaibeba nitaanza kwako mara yule mzee akashuka akanza kunihoji nafanya wapi imekuwaje..nikamwambia huyu mjinga mnalea wapuuzi kama hawa nikamwelezea ..mara akamwita ..akaanza kumweleza ooh ninyi ni vijana amtakiwi kutukanana hivi...huku ameshika karatasi ya faini...uwezi amini nikaambiwa nenda usirudie tena
nikiwa naondoka nikapishana na makonda si chini ya 6 wanaenda pale ..wakakimbilia magari yao ..sasa basi mh mpinga hivi haya magari ya mapolisi yamegeuka vituo vya polisi???
2))je hivi jiulize kama si makaratasi ya faini feki ile walioniandikia wanampelekea nani ama wanaenda kusema nini huko ofisini ???
3))mh mpinga embu tusaidie vituo vifuatavyo vinamagari yamekosa tu alama za nenmbo za polisi na picha ya raisi else ni vituo kamali..humo ndani faini unaandikiwa...rushwa humo humo...yaani akuna unachokosa ama tofauti na unapofika kituoni
namba moja
wanapaki mbele kidogo karibu na nssf..hawa nahisi wanaongoza kwa kupoteza mapato serikalini maana nasema hivi wamejitosheleza mpaka na break down wanakaa nayo pale pembeni
kona ya kawe
hawa hata mshipa wa aibu awana kabisa huwa wanasimamisha gari live wanakuuliza tupatie chai bila hata kuuliza kosa..kwa upande wetu ni waungwana kidogo
ila tunaomba atuitaji hizi kashfa jamani..hawa wameendelea wana magari 3 ya traffic yanapaki pale chini ya mti mawili na moja linapaki kwa mbele ukiwa unaelekea lugalo
hawa naona na vitambi vimeaanza kuwatoka tofauti na walivyoanza ni vyema ukaanza kuwapeleka mbagala utatusaidia sana kwa hili
kituo cha airport
hawa akuna tofauti na maharamia..maana wamefungua kituo cha polisi chini ya mti nje ya ofisi za mtu kabisa ..karibu na geti la kuingilia...kwa ufupi ukiwa unatoka airport ukikunja kulia tu angalia kushoto kwako..hawa nao wameadvance wana kaa na breakdown si chini ya mbili.....tunaomba utusaidie kutuelekeza je ndio maendeleo ama mnamwiga mrema kituo cha polisi kila sehemu mpaka kwenye magari yenu
tunajua mnashida jamani mishahra midogo ..ila kwa hili s vyema mkajirekebisha mtakuwa mmelisaidia jeshi la polisi ingawa aliwajali....
Mh mwema,mpinga tafadhali toen haya magari mnayofanya vituo vya polisi ni aibu kubwa jwa jeshi lenu
shukran natanguliza
nikiwa natoka gongo la mbali traffic akawa anaita ilipofika gari la tatu mbele yetu tukaona anaondoka ..tukiwa tunapita gafla akasimamisha gari yetu...dreva akashuka akaeleekezwa kwenye toyota premio ya dada mmoja traffic ..alipofika akaambiwa jamaa chini ya alfukumi wanamwandikia nikamwambia mwambie 3000 tu...alipowafwata wakamwambia mwite huyo bosi wako
hamad nilipofika nikakuta mzee mmoja si mzee sana akiwa na nyota zake kaka kwa nyuma...jamani jamani yaani tunabishana na traffic yule bosi anaangalia ..nikamwambia sina akaenda nyuma ya gari akaanza kuandika alipomaliza akanletea na kutaka nikalipe alfu arubaini nikamwambia nalipa central naomba niende nayo akawa anantishia ataita gari la break down kubeba gari yangu nikamwambia kabla ajaibeba nitaanza kwako mara yule mzee akashuka akanza kunihoji nafanya wapi imekuwaje..nikamwambia huyu mjinga mnalea wapuuzi kama hawa nikamwelezea ..mara akamwita ..akaanza kumweleza ooh ninyi ni vijana amtakiwi kutukanana hivi...huku ameshika karatasi ya faini...uwezi amini nikaambiwa nenda usirudie tena
nikiwa naondoka nikapishana na makonda si chini ya 6 wanaenda pale ..wakakimbilia magari yao ..sasa basi mh mpinga hivi haya magari ya mapolisi yamegeuka vituo vya polisi???
2))je hivi jiulize kama si makaratasi ya faini feki ile walioniandikia wanampelekea nani ama wanaenda kusema nini huko ofisini ???
3))mh mpinga embu tusaidie vituo vifuatavyo vinamagari yamekosa tu alama za nenmbo za polisi na picha ya raisi else ni vituo kamali..humo ndani faini unaandikiwa...rushwa humo humo...yaani akuna unachokosa ama tofauti na unapofika kituoni
namba moja
wanapaki mbele kidogo karibu na nssf..hawa nahisi wanaongoza kwa kupoteza mapato serikalini maana nasema hivi wamejitosheleza mpaka na break down wanakaa nayo pale pembeni
kona ya kawe
hawa hata mshipa wa aibu awana kabisa huwa wanasimamisha gari live wanakuuliza tupatie chai bila hata kuuliza kosa..kwa upande wetu ni waungwana kidogo
ila tunaomba atuitaji hizi kashfa jamani..hawa wameendelea wana magari 3 ya traffic yanapaki pale chini ya mti mawili na moja linapaki kwa mbele ukiwa unaelekea lugalo
hawa naona na vitambi vimeaanza kuwatoka tofauti na walivyoanza ni vyema ukaanza kuwapeleka mbagala utatusaidia sana kwa hili
kituo cha airport
hawa akuna tofauti na maharamia..maana wamefungua kituo cha polisi chini ya mti nje ya ofisi za mtu kabisa ..karibu na geti la kuingilia...kwa ufupi ukiwa unatoka airport ukikunja kulia tu angalia kushoto kwako..hawa nao wameadvance wana kaa na breakdown si chini ya mbili.....tunaomba utusaidie kutuelekeza je ndio maendeleo ama mnamwiga mrema kituo cha polisi kila sehemu mpaka kwenye magari yenu
tunajua mnashida jamani mishahra midogo ..ila kwa hili s vyema mkajirekebisha mtakuwa mmelisaidia jeshi la polisi ingawa aliwajali....
Mh mwema,mpinga tafadhali toen haya magari mnayofanya vituo vya polisi ni aibu kubwa jwa jeshi lenu
shukran natanguliza