Jamani hii inanishangaza kidogo hivi ni kweli gari moja la kuzolea takataka laweza kugharimu milioni 115? JFW moja! Nimeona leo kwenye taarifa ya habari ya channel 10. Labda haya ni aina mpya eti!
Ni aina gani? ni ya mwaka gani? bila shaka ni mapya maana sheria za manunuzi serikalini haziruhusu mitumba! sifikirii kama ni bei ya ajabu ukizingatia udhaifu wa Shilingi yetu! labda kama una takwimu za kutosha na isiwe hisia! unaweza pia search katika websites zinazouza magari ukishajua brand.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.