Hii thread ni mfu kwa sababu inaongelea mambo yasiyo na tija kwa sababu suala la foleni dar ni ufinyu na uchache wa barabara na haihusiani na magari ya kuhongwa. Ukimwi ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine tena ukimwi siyo hatari kama malaria.
Kila mla huliwa, hata wake wa ma-director nao wanaliwa na mwishoe wanahonga magari vi-serengeti boys!!!
Yule wa BoT yeye anaonga za rangi nyekundu, angalia mkeo anatumia ya rangi gani.Kwani yule Mzee wa B O T keshatoka lupango? couse yeye ni ndio
kinara wa iyo michezo OLE WA MY WIFE siku naye arudi na Vitz
OOHHH NIMEKOPA SACCOS ntmmaliza
...Mkuu hakuna kitu akili zao tu ndio zinawapa kiwewe mbona utamu wanao wenyewe..Kwa nini wengine wanapiga punyeto?!!....hahaaaaa kumbe ndo maana foleni kubwa dar..basi watakuwa watamu sana mpaka wanahongwa magari