Magamba yamekata umeme.

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
Ninasubiri kwa hamu bajeti ya serikali yangu saa tano.magamba yamezima umeme,au hayataki tujue mikakati ya chadema kutukomboa.nimekata tamaa.nilikuwa nimecancel ratiba zangu.
 
Ninasubiri kwa hamu bajeti ya serikali yangu saa tano.magamba yamezima umeme,au hayataki tujue mikakati ya chadema kutukomboa.nimekata tamaa.nilikuwa nimecancel ratiba zangu.

Itatangazwa kupitia redio gani?
Maana Redio ya Magamba (TBC) Wana kipindi kingine. au TBC TV Watarusha? Walivyo wazalendo kwa maghamba sijui kama watarusha.
 
Mpaka Tbr umeme wolah...hizi ni fitina za mjomba na akina Nepi,leo umeme umekatwa mapema hata hakujapambazuka
 
Back
Top Bottom