Ninasubiri kwa hamu bajeti ya serikali yangu saa tano.magamba yamezima umeme,au hayataki tujue mikakati ya chadema kutukomboa.nimekata tamaa.nilikuwa nimecancel ratiba zangu.
Ninasubiri kwa hamu bajeti ya serikali yangu saa tano.magamba yamezima umeme,au hayataki tujue mikakati ya chadema kutukomboa.nimekata tamaa.nilikuwa nimecancel ratiba zangu.
Itatangazwa kupitia redio gani?
Maana Redio ya Magamba (TBC) Wana kipindi kingine. au TBC TV Watarusha? Walivyo wazalendo kwa maghamba sijui kama watarusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.