Silly
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 569
- 180
Uchaguzi wa mwaka jana ulizaa matunda na kubadilisha sura ya Mwanza baada kujivua magamba. Ila viongozi waliopata zile nafasi sijaona kama wanazitumia vizuri kwangu mimi kama mtanzania wa kawaida ambaye hana fursa ya kuingia kwenye vikao vya wakubwa kujua mipango yao, barabara zetu bado zinadai, drainage system kama vile haipo, maji safi na salama kidogo bado ni ya shida kama kipindi cha magamba, au ni nini kinakwamisha haya. Ofisi za jiji bado wizi mtupu na mipango ya mji haijaeleweka wala kuwekwa wazi, jamani mpo au mlishahamia Dar kama waliowatangulia..