Nimepata kusikia kuwa magamba ya mti wa mwembe ni kinga dhidi ya magonjwa kama malaria n.k.
Maelezo niliyopata ni kuwa ukichemsha magamba ukanywa maji yake au ukisaga magamba makavu ukanywa maji yalichanganywa na unga uliotokana na magamba hutaumwa malaria kabisa utaimarisha kinga yako.
Ila sijapata udhibitisho wa kisayansi, kama kuna yoyote hapa aliyepata kuona udhibitisho wa kisayansi anisaidie.
Lakini miti na mimea ina dawa nyingi sana za asili.
Mfano nilisoma makala mojawapo ya wataalamu wa marekani inasema soup therapy.
Ukinywa supu yenye mchanganyiko wa mimea kadhaa inasaidia kuongeza kinga ya mwili, kupunguza uzito na kuondoa sumu mwilini
soma hiyo attachment chini:
Maelezo niliyopata ni kuwa ukichemsha magamba ukanywa maji yake au ukisaga magamba makavu ukanywa maji yalichanganywa na unga uliotokana na magamba hutaumwa malaria kabisa utaimarisha kinga yako.
Ila sijapata udhibitisho wa kisayansi, kama kuna yoyote hapa aliyepata kuona udhibitisho wa kisayansi anisaidie.
Lakini miti na mimea ina dawa nyingi sana za asili.
Mfano nilisoma makala mojawapo ya wataalamu wa marekani inasema soup therapy.
Ukinywa supu yenye mchanganyiko wa mimea kadhaa inasaidia kuongeza kinga ya mwili, kupunguza uzito na kuondoa sumu mwilini
soma hiyo attachment chini: