ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Habari za sasa hivi ni kwamba Chama cha Magamba (CCM) wameshajipanga kumfukuza mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Geita. kandoro kisha tia timu mjini geita tayari kwa kusimamia zoezi hilo.
Nitaaeleza kinachojiri kadiri muda unavyokwenda.
Acha hawa watu wavurugane, ni matokeo ya rushwa na hongo ndio tunayoyaona sasa.
Nitaaeleza kinachojiri kadiri muda unavyokwenda.
Acha hawa watu wavurugane, ni matokeo ya rushwa na hongo ndio tunayoyaona sasa.