Ukijaribu kuangalia thread nyingi hapa jf ni wanamagamba kuitafutia chadema sababu tu ili ionekane imeanza kudhoofu mi nawaambia mtahangaika wee chadema inasonga mbele tuu.
Habari za kuaminika ni kwamba Nape amepandikiza kikosi kazi cha watu 50 hapa JF kwa ajili ya kuichafua CDM na anawalipa kwa idadi ya post wanazochangia kwa siku. Hawa vibaraka wa nape utawatambua kwa Joining date: (MAY -JUNE 2012) na wanajitahidi kuchangia kila post inayoinanga CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.