Mafuta yanavyohangaisha utawala Z’bar

Umeelewa kilichoandikwa? Kama hukuelewa tuambie tutakusaidia, imeandikwa kwa lugha abayo si yetu kwahiyo uwezekano wa kutoelewa ni mkubwa na si kosa ni lugha tu kama vile mtu mwingine asiyeweza kuelewa kiarabu n.k

Sitta amesema kama kaimu waziri mkuu wa serikali ( sio maoni yake) akifanya majumuisho ya wizara husika. Amesema hakuna suala la serikali tatu akatoa mfano wa kiungwana, kama Zbar haiwezi kulipa Tanesco itaweza kulipa fees ya muungano. Akaendelea hakuna cha serikali tatu, kama kuna wanokereka kuna njia rahisi jitokezeni muungano uwepo au uvunjike. Kumbuka ni kiongozi wa shughuli za serikali bungeni (kaimu PM) na kauli zake zipo katika Hansard ya bunge kama kauli ya serikali na sio Sitta.

Kuna aliyewadanganya wzbar kuwa ikiwepo serikali ya Tanganyika mambo yatakuwa mazuri. Watanganyika wanasema vunja muungano hawana cha kupoteza na hawako tayari kubeba mzigo wa serikali ya tatu, ndio maana nimeweka hiyo aricle ya kuonyesha south sudan wako namna gani.
Wabara hawahitaji kura ya maoni, ya nini!!! kura ya maoni bara itapigwa ili iweje.

Hamna haja ya kura ya maoni nani amewaliazimisha muishi bara! ondokeni msasani, kigamboni, makorora, ilala, Tabora, Lindi, n.k muungano utakuwa haupo. Hamuwezi kubebwa mgongoni halafu mnarusha mateke, hapo lazima mtadhibitiwa.
Hakuna mbara anayehitaji kura ya maoni, ili iweje na ya nini, imsaidie nini. Zbar inahusu nini maisha ya mbara, what's Zbar.!!

Mimi hiyo article yako nimeielewa vizuri...Kuhusu lugha ya kiingereza mimi naelewa vile vile, nasio kiingereza tu, kiarabu,kituruki na kijapani...
Unachojaribu ni kuwatisha wazanzibari eti muungano ukivunjika ete wao ndio watapata hasara, think again... Sitta, na kundi lake wanajulikana kama hao ndio wakina Nyerere walio bakia... Bado ana mawazo yale yale ya miaka ya 60s,70s,80s na 90s. Kama na wewe uko katika kundi lao basi muda wenu umekwisha... Nyakati hizi sio zile. Mambo ya kikoloni yamepitwa na wakati...
Kuhusu serikali tatu, sio wazanzibari tuu,hata watanganyika wengi wanataka hivyo. Sitta na kundi lake wako katika utawala na hicho ndicho kinacho mdanganya...Vyama vyote vya upinzani vina support kuwepo kwa mfumo wa serikali tatu...Mkae na mkumbuke kuwa utawala wa CCM unaelekea ukingoni...Hakuna mtu wala chama cha siasa kitakacho weza kuzuwia vugu vugu la mabadiliko katika siasa za TZ...
Deni la TANESCO, wazanzibar hawatalilipa waziri wa nishati alishawafahamisha hao wahusika...Siri ya deni inajulikana na hizo ni mbinu za mtawala ,kumpandikizia madeni anaemtawala... Wakati utafika , wanzanzibari watarudi kwao na watanganyika walioko zanzibar watarudi kwao...

Nyakati za kikoloni zimekwisha...
 
Mimi hiyo article yako nimeielewa vizuri...Kuhusu lugha ya kiingereza mimi naelewa vile vile, nasio kiingereza tu, kiarabu,kituruki na kijapani...
Unachojaribu ni kuwatisha wazanzibari eti muungano ukivunjika ete wao ndio watapata hasara, think again... Sitta, na kundi lake wanajulikana kama hao ndio wakina Nyerere walio bakia... Bado ana mawazo yale yale ya miaka ya 60s,70s,80s na 90s. Kama na wewe uko katika kundi lao basi muda wenu umekwisha... Nyakati hizi sio zile. Mambo ya kikoloni yamepitwa na wakati...
Kuhusu serikali tatu, sio wazanzibari tuu,hata watanganyika wengi wanataka hivyo. Sitta na kundi lake wako katika utawala na hicho ndicho kinacho mdanganya...Vyama vyote vya upinzani vina support kuwepo kwa mfumo wa serikali tatu...Mkae na mkumbuke kuwa utawala wa CCM unaelekea ukingoni...Hakuna mtu wala chama cha siasa kitakacho weza kuzuwia vugu vugu la mabadiliko katika siasa za TZ...
Deni la TANESCO, wazanzibar hawatalilipa waziri wa nishati alishawafahamisha hao wahusika...Siri ya deni inajulikana na hizo ni mbinu za mtawala ,kumpandikizia madeni anaemtawala... Wakati utafika , wanzanzibari watarudi kwao na watanganyika walioko zanzibar watarudi kwao...
Nyakati za kikoloni zimekwisha...

Takashi, lakini kinachowashinda ni nini? Hivi kama mtaondoka bara wote na mkawatimua wabara kutoka zbar(wachache sana) kama mlivyowachoma moto, muungano utakuwepo? Mimi ninachotaka kujua ni tatizo gani linawakwaza mkae kwenye 'ukoloni' ili hali mnajua njia ya kutokea.

Sina sababu ya kumtisha mtu kwa kutumia Sudan. Hao S.Sudan wanamafuta tayari lakini bado watu wanasita kurudi kwao. Hili la mafuta(kama yapo) ndilo linawatia wazimu wazanzibar. Mimi sioni kama ni tija kwa bara. Taifa letu limekuwepo bila mafuata miaka 50 tena likibeba na mizigo isiyotarajiwa sidhani mafuta ya zbar yanaweza kulifuta taifa kautoka uso wa dunia. Yapo kule dubai, na nchi zingine yameanza kuisha.

Sitta amesema kama serikali tena kasema hata umeme mnapata bure bila mgao. Kama waziri wenu ana hoja akanushe maneno ya Sitta kama kauli ya serikali vinginevyo ukweli uitwe ukweli.
Mambo ya madini hayakuwemo katika yale ya muungano, hata suala la elimu ya juu limeombwa na serikali ya Zbar. Lakini la muhimu hapa kama zbar ni partner (na ni partner) je wanachangia nini katika u-partnership. Nini contribution ya zanzibar katika union ya sasa.

Hili la serikali tatu wabara wanasema no! hatuwezi kuendelea kubeba mizigo tukitukanwa. Ima iwe kama ilivyo au huo muungano uvunjike.
Anayetakiwa kuvunja muungano ni yule anayehisi kudhulumiwa, bara wao wameridhia kutoa bila kupata.
Wabunge wenu walete hoja ya kuvunja muungano ijadiliwe.
Au jitokezeni mitaani Dar muandamane mkisema hamtaki muungano, baada ya maandamano pandeni meli rejeeni kwenu.
Bara has nothing to lose, if it has, please prove it.
 
Hahhahahahahaha, unachekesha. Sisi wazanzibari hatutaki muungano wwala sio kwa sabau eti mafuta. Hatutaki tena kuburuzwa tunataka nchi yetu mulioiiba kitaalamu mwaka wa 1964.
It's over. Southern Sudan next, Zanzibar.
 
Nguruvi, nani alichomwa moto?. Mbona unapotosha kuna mtu aliyekufa yeyote. Mkapa na marcenaries wake waliuwa wazanzibari wangapi 2002, mbona hamukusema kitu ama roho za wazaznzibari hazina maana. Tusidanyane hapa. Ukweli ni kuwa wazaznzibari wamechoka wanataka nchi yao.
 
Nguruvi, nani alichomwa moto?. Mbona unapotosha kuna mtu aliyekufa yeyote. Mkapa na marcenaries wake waliuwa wazanzibari wangapi 2002, mbona hamukusema kitu ama roho za wazaznzibari hazina maana. Tusidanyane hapa. Ukweli ni kuwa wazaznzibari wamechoka wanataka nchi yao.
Sasa tatizo ni nini kuchukua nchi yenu? hapo ndipo swali langu lilipo. Mnashindwa nini. Mumeshawaambia jamaa zenu warudi kwao. Tatizo la kurejea nyumbani ni nini haswa.BWL hawaleti mswada, wabunge wa Zbar manung'uniko hawaleti mswada, wafanyabiashara wameng'ang'ana DSM hawaendi Zbar, Wanafunzi wamejazana bodi ya mikopo sio ya SMZ hawarudi kwao, wafanyakazi wapo maofisini hawarudi Zbar, woote hao wanasema hawataki muungano, akh! sasa kwanini wasitangulie kwenye nchi ya ahadi ya mito na maziwa ya asali, nchi ya mafuta na karafuu!!

Sio 2002 tu, mbona wameua Arusha, Nyamongo n.k! hakuna anayependa serikali itumie nguvu kuua wananchi wake.

Lakini Kuchoma moto ni kitu kinaitwa 'xenophobia' yaani chuki dhidi ya watu au jamii fulani.
Masheikh wengi walishangilia kuchomwa mabanda yenye binadamu waliolala na Wzibar wengi wakafurahia hayo wakisema wabara wanaleta umalaya kana kwamba zbar hakukuwepo umalaya. Je wale mashoga wanatoka wapi?

Zbar kuna magereza kutokea wakati wa sultani, utakatifu umetoka wapi leo hii? Mbona Wataliano wenye madanguro hawakuchomwa moto!
Huko Saudia alikozaliwa na kufariki Mtume Muhamad S.A.W kuna majambazi, kuna malaya, walevi, magereza n.k, Zbar inapata wapi utakatifu wa kusema bara wanaleta uchafu huo kama si chuki dhidi ya wabara.

Kwanini wasiwe Wakenya, Waganda au Wasomali wawe wabara! Kondomu gani inayoweza kuthibitisha mtumiaji ni m-bara na si Mtaliano au Mwarabu.

Wakati hayo ya kuchoma moto yakiendelea Zbar, Wazanzibar walioko bara wanaishi raha mustarehe, najiuliza hivi xenophobia ikitokea bara kitatokea nini! Subhanallah. Endeleeni kushangilia na masheikh wenu, mwambieni sheikh wenu video zake tunaziona aendelee kuchochea tu!!
 
Tena kwanini mnaing'ang'anie kwa maguvu ya kijeshi, si muondoke tu Mkuu?

Kuna wanajeshi wa Zbar huku bara kama walivyo mawaziri ,wakuu wa polisi, na jeshi kubwa la waajiriwa kwanini wao wasiondoke kurejea zbar.

Swali la Kobello ni kuwa, Kuna mchango gani wa Zbar katika muungano??? hili ndilo linahitaji jibu.
 
Takashi, lakini kinachowashinda ni nini? Hivi kama mtaondoka bara wote na mkawatimua wabara kutoka zbar(wachache sana) kama mlivyowachoma moto, muungano utakuwepo? Mimi ninachotaka kujua ni tatizo gani linawakwaza mkae kwenye 'ukoloni' ili hali mnajua njia ya kutokea.

Sina sababu ya kumtisha mtu kwa kutumia Sudan. Hao S.Sudan wanamafuta tayari lakini bado watu wanasita kurudi kwao. Hili la mafuta(kama yapo) ndilo linawatia wazimu wazanzibar. Mimi sioni kama ni tija kwa bara. Taifa letu limekuwepo bila mafuata miaka 50 tena likibeba na mizigo isiyotarajiwa sidhani mafuta ya zbar yanaweza kulifuta taifa kautoka uso wa dunia. Yapo kule dubai, na nchi zingine yameanza kuisha.

Sitta amesema kama serikali tena kasema hata umeme mnapata bure bila mgao. Kama waziri wenu ana hoja akanushe maneno ya Sitta kama kauli ya serikali vinginevyo ukweli uitwe ukweli.
Mambo ya madini hayakuwemo katika yale ya muungano, hata suala la elimu ya juu limeombwa na serikali ya Zbar. Lakini la muhimu hapa kama zbar ni partner (na ni partner) je wanachangia nini katika u-partnership. Nini contribution ya zanzibar katika union ya sasa.

Hili la serikali tatu wabara wanasema no! hatuwezi kuendelea kubeba mizigo tukitukanwa. Ima iwe kama ilivyo au huo muungano uvunjike.
Anayetakiwa kuvunja muungano ni yule anayehisi kudhulumiwa, bara wao wameridhia kutoa bila kupata.
Wabunge wenu walete hoja ya kuvunja muungano ijadiliwe.
Au jitokezeni mitaani Dar muandamane mkisema hamtaki muungano, baada ya maandamano pandeni meli rejeeni kwenu.
Bara has nothing to lose, if it has, please prove it.

Hamta kubali kuiwacha Zanzibar kwa kasumba tuu, mlizolishana. Umesahau kama Mkapa aliwahi kutamka kama bora waitowe Kagera kuliko kuiwacha zanzibar... wako wengi tuu, mlifanywa kuamini kuwa zanzibar ni sehemu ya tanganyika na hicho ndicho kinachowasumbua.

Tatizo ni kwamba hivi sasa CCM inatumia vyombo vya dola kukandamiza upinzani wa kisiasa. Kiasi kikubwa walifanikiwa kuwaweka vibaraka wao katika serikali ya SMZ. Lakini muda wao unakaribia kwisha. Mzanzibari wa kawaida hakubali tena utawala wa kitanganyika ndani ya Zanzibar.

Kumekua na ongezeko kubwa la wanajeshi JWTZ kutoka Tanganyika ,hawa wamepelekwa Zanzibar makusudi eti kuzuwia namna yeyote ile ya vurugu kama litatokea Zanzibar. Katika TZ yote idadi kubwa ya wanajeshi iko Zanzibar ( per area). Wazanzibari wako tayari katika haya mawili ;-
SERIKALI TATU AU MUUNGANO UVUNJIKE... Hata ukimuuliza mtoto wa shule Zanzibar atakupa jibu hili.

Kilio cha wanzanzibari kutaka serikali tatu ,hakikuanza leo na wala baada ya kuzuka suala la mafuta. Mara tuu, baada ya kifo cha Karume,kulikua na vugu vugu hilo. Aboud Jumbe, Ramadhan Haji, Bavuai na wengine walianzisha mjadala huo ,pamoja na kwamba kipindi kile Dikteta Nyerere alikua katika hatamu na alifanikiwa kuwazima hawa watu kwa kipindi kile. Lakini sio leo !

Kipindi kisicho zidi zaidi ya miaka 10 kutoka hivi sasa, mambo mawaili, moja lazima na nasema LAZIMA litatokea. KUVUNJIKA KWA MUUNGANO AU KUWEPO KWA MFUMO WA SERIKALI TATU. Zanzibar has nothing to lose, either...
 
Mkuu umesema mengi lakini nahisi la msingi ni kutaka kujua kuhusu Mzanzibari na Mzanzibara.

Kwa ufupi kabisa ni kwamba Wazanzibari tunajijua na Wazanzibara wanajulikana na wenyewe wanajijua.

Bahati mbaya wewe humo katika wote hawa.

Sasa wewe uite ubaguzi au nini, habari ndio hio, muondoke tu

Mkuu,

Mie nafahamu fitna za Nyerere na CIA kwenda kuua uislamu na maendeleo ya Zanzibar kwani walihofia ingeliweza kuwa dola yenye nguvu kipesa na influence kubwa sana kiuslamu. But na wazanzibari nanyi you are to blamed also kwa kuendekeza siasa za kibaguzi kwa maslahi yenu. Nani asiyejua kuwa uongo wa mapinduzi ndio uliokuwa ukiwaweka watu madarakani na kuhalalisha favouritism to some of zanzibaris kuingia serikalini na kupata kazi maofisini. Professor Thomas aliwahi kufanya utafiti wa Post-revolution era akakuta vijana wengi ambao wazee wao walikuwa kwenye vyama vya ZPP na Umma (a.k.a Hizbu) walinyimwa kazi serikali kwasababu wazee wao walikuwa upande ule usiotakiwa.

Wengine akina Babu walitaka kufanyiwa unyama kwasababu walitaka kuleta mabadiliko wakakimbilia Tanganyika na mwishoe nje ya nchi.

Siasa za ubaguzi sasa zinachuja kwani wazanzibari wengi wamekuwa exposed nje ya nchi na wamesoma wanaona ni ujinga kubaguana na kunyanyasana ndio sababu pigo la SUK limewaumiza sasa wanajidai sasa ni wazalendo wa kutetea uzanzibari ilii kupata support ya wazanzibari for their own personal desires.

ACHENI UNAFIKI MKUU !!!! Kama muungano kuvunjika kuwepo na sababu za msingi na sio za kinafiki solution ni serikali 3 tu hakuna lengine.
 
Tunahitaji constitutional assembly itakayozungumzia masuala yote ya Muungano, ikiwemo ushirikishwaji wa Zanzibar kwenye masuala mbali mabli ya kimataifa sio EAC tu, bali hata SADC, AU nk. Suala hili linahitaji COMPREHENSIVE REVIEW OF THE UNION CONSTITUTION; kuna mambo Watanganyika hawayapendi na kuna masuala wazanzibari hawayapendi ndani ya muungano. yatatuliwe tusonge mbele.
 
Tunahitaji constitutional assembly itakayozungumzia masuala yote ya Muungano, ikiwemo ushirikishwaji wa Zanzibar kwenye masuala mbali mabli ya kimataifa sio EAC tu, bali hata SADC, AU nk. Suala hili linahitaji COMPREHENSIVE REVIEW OF THE UNION CONSTITUTION; kuna mambo Watanganyika hawayapendi na kuna masuala wazanzibari hawayapendi ndani ya muungano. yatatuliwe tusonge mbele.

Mkuu,

Hapo umenena ila kuna kundi la wahafidhina kila siku muungano uvunjike uvunjike sababu Tanganyika inawanyonya but wanashindwa kutambua ndugu zao wako tanganyika na wamewekeza kwa kiwango kikubwa mfano (Bakhressa, Zakaria na SSB ). Tukivunjika muungano kuna mkanganyiko mkubwa unaweza kutokea kuanzia mipaka ya Zanzibar hadi wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na kufanya kazi huko.
 
Hayo maneno murua.

Watu tuko mwaka wa 47 wa muungano, bado kuna wanaoleta chokochoko za kujitenga. Siku zote watu hutenganishwa na mabepari, ili waweze kuwanyonya vizuri; sisi tunajitenganisha wenyewe. Tuwe makini, na tuepuke chuki dhidi ya Muungano wetu.

Mkuu,

Hapo umenena ila kuna kundi la wahafidhina kila siku muungano uvunjike uvunjike sababu Tanganyika inawanyonya but wanashindwa kutambua ndugu zao wako tanganyika na wamewekeza kwa kiwango kikubwa mfano (Bakhressa, Zakaria na SSB ). Tukivunjika muungano kuna mkanganyiko mkubwa unaweza kutokea kuanzia mipaka ya Zanzibar hadi wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na kufanya kazi huko.
 
Jambo moja ambalo hawa wenzetu wa bara ambalo linanishangaza siku zote, ni ile dhana ya kuwa wametutawala na kila kinchoambatana na jambo hllo ikiwa ni pamoja na dharau dhidi ya Zanzibar.

Issue yoyote inayokuja kuhusu "muungano", huwa wanazungumza kama kwamba hali hii ndio iliokuwepo dum daima. Wanasahau kuwa Zanzibar ni partner katika huu "muungano" na wanataka tubadili dhana hio na kujiona kama mkoa miongoni mwa mikoa yao.

Mzanzibari yoyote mwenye akili timamu hakubali hali hio na Zanzibar hamuwezi kuifuta katika ramani ya dunia.

Suala la mafuta sio issue pekee kwa mustakabal wa Zanzibar kwani Wazanzibari wasichotaka ni huu "muungano" ambao kila siku Zanzibar inapoteza madaraka na mamlaka yake kwa Tanganyika. Resources si mafuta tu katika Tanzania na mbona Zanzibar hainufaiki na madini mengi yalioko bara ikiwamo hata hio gesi inayopatikana huko bara. Msifanye kuwa mafuta ndio issue, "muungano" wenyewe ndi issue na sisi hatuutaki.

Sasa nyinyi chongeni lakini mjue kwamba Zanzibar itabakia kuwa Zanzibar na iko siku mtapanua wenyewe.

Hapa JF mnapunguza gesi tu mioyoni mwenu, issue hapa pelekeni hoja bungeni mpewe nchi yenu! Bila hivyo mtabaki mnabweka tu jitu kubwa ambalo hamna uwezo wa kupambana nalo.
 
Hayo mafuta yanayoongelewa hapo juu katika makala ya Idrissa ndio yale yale ambayo mtaalamu aliyefanya 'feasibility study' mwaka juzi alisema "Not Economically Viable (exploitable)" ama ni mengine? Nakumbuka ripoti ya mtaalamu yule ilinangwa sana na wanasiasa wetu wa visiwani, kwamba hata kama mafuta yaliyopo ni kidogo basi bora yachimbwe wagawane wajipake. Mada hiyo ipo hapa JF, nitaitafuta niisome upya!
 
Mkuu,

Hapo umenena ila kuna kundi la wahafidhina kila siku muungano uvunjike uvunjike sababu Tanganyika inawanyonya but wanashindwa kutambua ndugu zao wako tanganyika na wamewekeza kwa kiwango kikubwa mfano (Bakhressa, Zakaria na SSB ). Tukivunjika muungano kuna mkanganyiko mkubwa unaweza kutokea kuanzia mipaka ya Zanzibar hadi wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na kufanya kazi huko.

kwanza mimi vile vile nakubli ile makala ya Makame.... Matatizo ya muungano kwa asilimia kubwa yanasababishwa na upande wa Tanganyika...Muda wote wao ndio wamekua waamuzi, wao wamekua ndio wenye kauli ya mwisho ,kana kwambwa Zanzibar si lolote si chochote... Vile vile makubaliyano ya muungano wameyavuruga kwa maslahi ya upande wao.
Kuna vitabu na magazeti yanaandika kama zanzibar ni mkoa makusudi ya kuwadharau na kuwakejeli wazanzibar. katika hali kama hii ,wakati zanzibar iliungana na tanganyika kama nchi na sio mkoa wala wilaya. kwa muda mrefu wa zanzibar wamelalamika na kuendelea kudharauliwa...haya malalamiko hayata ondoka mpaka ufumbuzi upatikane, yalikua kidogo na sasa yamekua mengi... muda mrefu watu walidai serikali tatu,tangu kipindi cha Aboud Jumbe akiwa rais wa zanzibar... nitatumia neno la Barubaru "hata mbuyu ulikua mdogo kama mchicha" kwahiyo hizo dharau na kejeli ndio zinatupeka pabaya.
 
Hapa JF mnapunguza gesi tu mioyoni mwenu, issue hapa pelekeni hoja bungeni mpewe nchi yenu! Bila hivyo mtabaki mnabweka tu jitu kubwa ambalo hamna uwezo wa kupambana nalo.

kama ujumbe umeupata hio inatosha...alieko bungeni ataongelea huko...aliyeko sokoni ataongelea huko...aliyeko mtaani ataongelea huko... hatua ya kwanza ni kupeleka ujumbe...kazi nyengine inafuata baadae.
 
Wabunge wa zanzibar kama hamtaki muungano kama mnavyosema kwa jazba,kinachowapeleka Dodoma ni nini? si mngekaa zanzibar au mwazitaka posho za ubwete za Tanganyika maana serikali yenu haichangii chochote . K umbe pesa za bara tamu hee.
 
takashi;2213629]Hamta kubali kuiwacha Zanzibar kwa kasumba tuu, mlizolishana. Umesahau kama Mkapa aliwahi kutamka kama bora waitowe Kagera kuliko kiwacha zanzibar... wako wengi tuu, mlifanywa kuamini kuwa zanzibar ni sehemu ya tanganyika na hicho ndicho kinachowasumbua.

Tatizo ni kwamba hivi sasa CCM inatumia vyombo vya dola kukandamiza upinzani wa kisiasa. Kiasi kikubwa walifanikiwa kuwaweka vibaraka wao katika serikali ya SMZ. Lakini muda wao unakaribia kwisha. Mzanzibari wa kawaida hakubali tena utawala wa kitanganyika ndani ya Zanzibar.

Kumekua na ongezeko kubwa la wanajeshi JWTZ kutoka Tanganyika ,hawa wamepelekwa Zanzibar makusudi eti kuzuwia namna yeyote ile ya vurugu kama litatokea Zanzibar. Katika TZ yote idadi kubwa ya wanajeshi iko Zanzibar ( per area). Wazanzibari wako tayari katika haya mawili ;-
SERIKALI TATU AU MUUNGANO UVUNJIKE... Hata ukimuuliza mtoto wa shule Zanzibar atakupa jibu hili.

Kilio cha wanzanzibari kutaka serikali tatu ,hakikuanza leo na wala baada ya kuzuka suala la mafuta. Mara tuu, baada ya kifo cha Karume,kulikua na vugu vugu hilo. Aboud Jumbe, Ramadhan Haji, Bavuai na wengine walianzisha mjadala huo ,pamoja na kwamba kipindi kile Dikteta Nyerere alikua katika hatamu na alifanikiwa kuwazima hawa watu kwa kipindi kile. Lakini sio leo !

Kipindi kisicho zidi zaidi ya miaka 10 kutoka hivi sasa, mambo mawaili, moja lazima na nasema LAZIMA litatokea. KUVUNJIKA KWA MUUNGANO AU KUWEPO KWA MFUMO WA SERIKALI TATU. Zanzibar has nothing to lose, either...
Weka ushahidi wa Mkapa kusema hayo, si hadithi za kusikia.
CCM inatumia nguvu gani kukandamiza upinzani!! Hakuna upinzani Zbar maalim Seif keshapewa sehemu ya Keki katulia.Upinzani Upi ?

Serikali tatu! Ehe hebu tueleze hizo serikali zitandeshwaje na kwa gharama ipi na ya namna gani. Usiseme kama wale watoto wa shule za msingi zanzibar unaosema wanataka serikali tau, natumai wewe umepevuka. Tuambie serikali tatu kivipi kwa uendeshaji na gharama.
Usitaje, tufafanulie serikali tatu kwa vipi.
 
Weka ushahidi wa Mkapa kusema hayo, si hadithi za kusikia.
CCM inatumia nguvu gani kukandamiza upinzani!! Hakuna upinzani Zbar maalim Seif keshapewa sehemu ya Keki katulia.Upinzani Upi ?

Serikali tatu! Ehe hebu tueleze hizo serikali zitandeshwaje na kwa gharama ipi na ya namna gani. Usiseme kama wale watoto wa shule za msingi zanzibar unaosema wanataka serikali tau, natumai wewe umepevuka. Tuambie serikali tatu kivipi kwa uendeshaji na gharama.
Usitaje, tufafanulie serikali tatu kwa vipi.

ushahidi utawekwa hapa , baadae ndio iweje? Na hayo maneno hakuzungumza Mkapa peke yake, wako wengi tuu...

Wapinzani wanoa kandamizwa sio wazanzibar tuu, hata Tanganyika vile vile au tuseme huoni au husikii yanayo wakuta CDM? Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi TZ, chaguzi zote zilizofanyika CUF ndio wanashinda Zanzibar. Ushindi wa CCM ni kugeuza matokeo. Sasa na hili vile vile kataa. Lakini muelewe kuwa sio muda mrefu sana mtaadhirika vibaya.

Kuhusu serikali tatu... Vyama vyote vya upinzani vinakubali mfumo huu. Kila chama kitatoa formula yake . Sisi raia tutaangalia chama kipi kina formula nzuri ndio tutaikubali. Mimi binafsi ,nataka hayo mambo ya muungano yapunguzwe ! Mambo ya muungano iwe wizara ya Ulinzi na wizara ya mambo ya ndani tuu. Shughuli zote za serikali kila upande zitakuwa chini ya waziri mkuu wa Tanganyika kwa upande wao na waziri mkuu wa zanzibar kwa upande wao.
Rais atakua ni mkuu wa nchi ambae atakua ceremonial ...Mchango wa kuendesha wizara za muungano zitachangiwa na kila upande , na kiasi gani ?watachangia itakua sawa na formula inayotumika sasa hivi ya mgao wa mapato ya muungano. Hayo ni mawazo yangu kama mkereketwa wa udhalimu wa CCM.
 
Back
Top Bottom