Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,712
Kuna mtapanyiko wa mafuta (diesel/ petrol) pwani yote eneo la pwani ya bandarini. Kuna speculations kwamba kuna meli imevujisha hayo mafuta ama bomba la tipper limepasuka....
Nimepiga picha kwa simu yangu ila mchina amegoma kusend file through buetooth.
Kinachoendelea ni kwamba wananchi wamejazana kwenye pwani wakipembua na kuchota mafuta yaliyomwagika. Eneo lote la feri linanuka mafuta na kikosi cha wanamaji wanajitahidi kumwaga DAWA kupunguza makali ya harufu. Mnaokwenda kigamboni mjihadhari sana na utelezi kwenye gati na pantonin.
Ni hatari sana eneo hilo endapo atatokea mzembe akaamua kutupa kichungi cha sigara.
Kama kuna anayejua chochote atupe taarifa kamili
Nimepiga picha kwa simu yangu ila mchina amegoma kusend file through buetooth.
Kinachoendelea ni kwamba wananchi wamejazana kwenye pwani wakipembua na kuchota mafuta yaliyomwagika. Eneo lote la feri linanuka mafuta na kikosi cha wanamaji wanajitahidi kumwaga DAWA kupunguza makali ya harufu. Mnaokwenda kigamboni mjihadhari sana na utelezi kwenye gati na pantonin.
Ni hatari sana eneo hilo endapo atatokea mzembe akaamua kutupa kichungi cha sigara.
Kama kuna anayejua chochote atupe taarifa kamili