Mafuta ya ubuyu

mafuta ya ubuyu kazi yake ni nini?

Ukiweza google;we look at boabab oil and its use. ila kwa kifupi:

Baobab oil is known for the following beauty benefits:

Skin softening

Skin restructuring
Baobab Oil Organic
Quick absorption

Improves elasticity of the skin

Encourages regeneration of cells

Do no clog skin pores

The essential fatty acids contribute towards maintaining a healthy skin

Superb moisturizing benefits for skin and hair

It is a non-siccative (non-drying) oil


Topical application can help alleviate various skin disorders such as chronic dry skin, thin skin, chronic brusing and sun spots. Antioxidant and nourisher. Improve skin elasticity and epiderming softening .
 
Yametengenezwa kwa mbegu za ubuyu au nini??
Yanatumikaje???
south africa wanauza US$ 17.00 for 11 ml We look at Baobab oil and its uses.

Yanatokana na kukamuliwa kwa mbegu za ubuyu,practically yamewatibu pia wagonjwa wa kupooza kwa kupaka tu, kisukari kwa kuyanywa, na magonjwa mengi ya ngozi hasa eszema.
Niko Dodoma,but natuma parcel mahali kokote nchini hata ya lita moja kwa gharama zangu
 
MAFUTA YA UBUYU
(BAOBAB SEED OIL)
Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini. Mafuta ya ubuyu yana ubora kuliko mafuta mengine ya kupikia, yana vitamin A, B, C, D na F. Pia yanatibu magonjwa mbalimbali kama ifuatavyo:

1. Yanatengeneza seli zote ndani ya mwili.
2. Huzuia ngozi isiharibike wala kupata makunyazi.
3. Yanaondoa mafuta au koresto ndani ya mishipa ya damu.
4. Yanapunguza uzito ulizidi.
5. Yanarutubisha ini na figo.
6. Yanaleta hamu ya kula.
7. Yanaimarisha mifupa, kucha na nywele.
8. Yanaongeza kinga ya mwili {CD4}.
9. Yanaondoa sumu.
10. Yanatengeneza sukari iwe katika kiwango kinachotakiwa.
11. Yanasaidia kuona vizuri na kumbukumbu.
12. Yanapunguza vitambi na matumbo makubwa.
13. Yanavirutubisho vyote vinavyohitajika mwilini.
14. Yanaondoa madoa, chunusi, fangasi, upele, m'ba na muwasho.
15. Yanafaa kwa walemavu wa ngozi {albino}.
16. Huondoa hamu ya kutumia madawa ya kulevya.
17. Huondoa vidonda vya tumbo.

Endelea kutumia mafuta bora ya ubuyu, ni bidhaa asilia ya kitanzania. Ni mafuta yasiyochanganywa na kitu chochote, ni mafuta asilia.

MATUMIZI – USICHEMSHE.
1. Kwa wagonjwa wa kisukari tumia kijiko cha chakula 1 tu nusu saa kabla ya kula chochote kwa muda wa siku 15 dozi ya kwanza, na ya pili na ya tatu {kila baada ya siku 15 za kila dozi. Pumzika wiki moja na endelea kupima kila wiki}.
2. Kwa vidonda vya tumbo, figo na ini kunywa kijiko cha chakula 1 asubuhi kabla ya kula chochote na usiku kijiko cha chakula 1 kabla hujala chochote kwa muda wa siku 15 dozi ya kwanza, siku 15 dozi ya pili, siku 15 dozi ya tatu {kila baada ya siku 14 pumzika wiki moja}, baada ya dozi tatu kuisha anza kunywa kila wiki mara moja, asubuhi nusu nusu saa kabla hujala chochote kwa muda wa wiki nne, kisha kunywa kila mwezi mara moja asubuhi kabla hujala chochote kwa muda wa wiki nne, kisha kunywa kila mwezi mara moja, asubihi kabla hujala chochote kwa muda wa miezi sita mfululizo.
3. Kwa utoaji wa sumu kunywa kijiko cha chakula 1 asubuhi kila siku kwa muda wa siku 14, kisha kunywa kila mwezi mara 1 kwa muda wa miezi sita mfululizo.
4. Kwa kuongeza CD4 mwilini, tumia mafuta haya kama ifuatavyo:
Asubuhi kijiko cha chakula 1 nusu saa kabla ya kula chochote na usiku kijiko cha chakula 1 nusu saa kabla ya kula chakula cha usiku kwa muda wa miezi mitatu. Mgonjwa aanze kunywa baada ya kipimo cha mwisho alichopima.
Mafuta yanapatikana kuanzia ujazo wa Robo lita na zaidi.


Kwa mawasiliano zaidi: Kama unahitaji naomba upige au tuma meseji kwenye namba zifuatazo
​ 0712700280 au 0766550881 nipo Dodoma karibu na Dodoma Hotel.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom