Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Tatizo la kukosekana kwa mafuta ya petrol linaonekana kuendelea kuwepo kila siku. Je tatizo lipo wapi? Ni ukosefu wa mafuta katika hifadhi y aTaifa au meli za mafuta bado kufika nchini?
Tatizo hili limekuwa kubwa baada ya serikali kupanga bei ya mafuta. Serikali inatakiwa itupe majibu ya kuridhisha kuliko kusema tatizo litamalizika baada ya siku kadhaa.
Tatizo hili limekuwa kubwa baada ya serikali kupanga bei ya mafuta. Serikali inatakiwa itupe majibu ya kuridhisha kuliko kusema tatizo litamalizika baada ya siku kadhaa.