Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Labda ingechukua miezi sita kufika hapo bongo ingependeza zaidi
Mkuu Kibs,
Mimi naheshimu haki yako ya kuji-express!! Ina maana wewe hushangai haya maajabu!! Sote tunafahamu utaratibu wa kununua; haiwezekani ndani ya siku tatu supplier apatikane, apewe oda na mafuta yawe yamefika Dar port!!
Ukiangalia wizi wote wa nyuma, IPTL, Richmond huwa unafanyika katika mzaingira kama haya; "emergence" as they call. Ina maana tatizo la maji kupungua tunaliona leo? Kwanini tunapenda ku-solve matatizo yetu kwa zima moto?
They should wake up now na kujua enzi za zamani nimeisha, HATUOIGWI MCHANGA WA MACHO kamwe!!!