VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kuna habari kuwa kwasasa mafuta ya petrol na diesel yamekuwa bidhaa adimu sana Visiwani Zanzibar.Bei ya ulanguzi ya nishati hiyo imefikia shilingi elfu sita kwa lita badala ya bei iliyokuwepo ambayo ilikuwa shilingi elfu mbili.Wazanzibar wengi wameamua kutembea kwa miguu na wengine kupaki magari yao.Je,ni dalili ya kushindwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa huko? Je,tatizo hilo nalo ni la kimuungano?
Tujadili...
Tujadili...