Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
utendaji wa kazi katika shirika lolote lenye mkono wa serikali ni mgumu sana kwa sababu za miingiliano ya maamuzi ya kitendaji na maamuzi ya kisiasa.pia maamuzi mengi huchukua muda mrefu kupitishwa ukizingatia wajumbe wa bodi wanakuwa na majukumu mengi na wameteuliwa kwa upendeleo
Hata Kama Ephraim atafanikiwa kupata u CEO hapo TTCL ajiandae kupambana na vikwazo vya urasimu tofauti na Vodacom alipozoea
Hata Kama Ephraim atafanikiwa kupata u CEO hapo TTCL ajiandae kupambana na vikwazo vya urasimu tofauti na Vodacom alipozoea