Wakuu naomba msaada wa kujua kitaalam mvua dar zilizosababisha mafuriko zilinyesha kwa kiwango gani.... nimetazama kwenye website ya TMA hakuna hizi data
hawa jamaa wanakula pesa za budget lakini ukianga uwezo wao wa kupata data (mitambo ya satellite na vinginevyo) ni mdogo mno. Ni bora kutumia tu wale wanaoweza kazi hizi na kusave hizi pesa (in the future)
Wakuu naomba msaada wa kujua kitaalam mvua dar zilizosababisha mafuriko zilinyesha kwa kiwango gani.... nimetazama kwenye website ya TMA hakuna hizi data
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.