Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
- Thread starter
- #41
Watu wamechukizwa sana na kitendo hiki kwa kuona kuwa Vodacom inajaribu kwa kutumia nguvu yake kusabotage juhudi za kuchangia Red Cross Society ya Tanzania. Tumeona watu wakijiunga kwenye kampeni yetu kwa sababu sasa wanaalewa. By the way, mafuriko mengine kongwa yamesababisha watu zaidi 300 kukosa malazi. Guess what? Wanasubiri Chama cha Msalaba Mwekundu kuwasaidia...