kongomboli
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 155
- 34
Hivi kama mafuriko yaliyotokea juzi yangeambatana na maandamano somewhere unadhani serikali yetu ingerespond haraka sehemu gani kati ya kwenye mafuriko na maandamano?
hahaaaaaaaaaaaa, kweli JF imepinda!!!
Kwa experience tuliyo nayo, nadnani maandamano yangeanza kupewa attention (au hata kutishiwa aishababu) kabla ya mafuriko kwani mafuriko yanahitaji maandalizi zaidi na mafuriko hayachagui yanasomba hata polisi tofauti na maandamano
Hivi kama mafuriko yaliyotokea juzi yangeambatana na maandamano somewhere unadhani serikali yetu ingerespond haraka sehemu gani kati ya kwenye mafuriko na maandamano?