MAFURIKO: Hali ya usafiri Dar yawa tete, makazi yasombwa!

No More Excuses!

What is happening is so Objective and solidly out there!! The product and totality of what we are, in our Heart, Mind, Mentality and all that which makes The Tanzanians we are! ACTUALLY The Tanzania We don't Want!!! But Sadly the one out there with full expression! Even if we close our eyes! Mind! Thinking Process ... It wont help! There a SHAME to face AND SHARE.. Yes Both Of US!!

Is there any way to hide our face on this? The citizens! The Politicians! The ... The .. We have to reap what we sour!!

Do we want do some changes ... Its all about US!!.. Change Heart! Change Mind! Change Mentality! Change ACTION! Change Government!!
 
Daraja la mtoni kijichi limevunjika sijui nitafikaje nyumbani leo... hasara za kuishi pembezoni mwa bahari
 
Mh! Imenikumbusha MV. Spice. Kiko wapi, watu wamekufa, na wengine kuathirika yamepita washasahau. Na hili nalo! Hii ndo Tz bwana, viongozi wanawachukulia wananchi km wanyama tu, wenye haki ni wao tu wajaza matumbo. Mnafkiri hivi tukiongea sn wanajali? Kuntuu! Kweli ni kudra za M/Mungu lkn twaambiwa hata yassin ukiijua na mbio lazima uwe nazo. Hii ni kusudi ya watu fulani tu wenye roho za km acid.
 
Mimi pia sijatoka mpaka sasa, maji ni mengi mno hapa nje, yamejaa kwenye ngazi ya kuingilia k wangu, ikiendelea kunyesha na mimi nitakuwa mhanga wa mafuriko. Naona mzungu anaelewa maana hajapiga simu mpaka sasa kuuliza kwanini nimechelewa!:lol:

Ona sasa! Yaani wewe umeshindwa kwenda/umechelewa kazini kwa sababu ambazo wewe ndo unaweza kuelezea,bado unasubiri kazini kwako ndo wakupigie kuulizia kulikoni? Huoni kuwa ni wajibu wako kuwafahamisha kazini kwako juu ya dharura yako? Aaah bana hii noma!
 
Kuna siku nilipokuwa dsm nilipita pale tangibovu, kuna ujenzi wa daraja unaendelea.

Ninahisi namna walivyoulazimisha ule mto kuzuia yale maji ndo imepelekea maji kupasua kingo baada ya kujikusanya kwa kukosa njia yake sahihi ya asili. Hivyo yale maji yaliyozuiwa kitambo yalipopata level inawezekana yakapita kwa kasi sana na kusababisha madhara haya makubwa...

Naamini JIJI limejiandaa kwa disasters kama hizi. Mamlaka ziongeze nguvu kuokoa watu..
 
Leo jioni mkuu akisema ivi ''tumeshaongea na ndugu zetu wa Afrika ya Kusini, wako njiani kuja kutoa msaada kwa walioathirika, pia ndugu zetu wa marekani wameahidi kutoa msaada wa dola laki moja''
 
Kuna siku nilipokuwa dsm nilipita pale tangibovu, kuna ujenzi wa daraja unaendelea.

Ninahisi namna walivyoulazimisha ule mto kuzuia yale maji ndo imepelekea maji kupasua kingo baada ya kujikusanya kwa kukosa njia yake sahihi ya asili. Hivyo yale maji yaliyozuiwa kitambo yalipopata level inawezekana yakapita kwa kasi sana na kusababisha madhara haya makubwa...

Naamini JIJI limejiandaa kwa disasters kama hizi. Mamlaka ziongeze nguvu kuokoa watu..

Hiyo imani yako imetokana/imechochewa na nini?
 
Mpaka muda huu hatujaambiwa ofisi ya Waziri Mkuu imesema nini au tunatakiwa tupige namba gani maalum kwa janga hili kwa ajili ya wasilisha au kupokea taarifa.
Itakuwa hivi..

Pinda: Ahhh..mimi naona(uku akipangusa pangusa pua..) wananchi tuwe wavumilivu tu..aah vikosi husika vinafanya kila jitihada kuwafikia huko mlipo.... nimeongea naa naa na waziri wangu kaniambia kwa sasa kuna helkopta inazunguka juu kufanya uokozi!
 
Hiyo imani yako imetokana/imechochewa na nini?
Majanga kama haya siyo ya leo wala jana. Kila msimu wa mvua lazima maji yalete maafa.

Imani yangu imejengeka ktk uzoefu wa JIJI kwani ni budi kuweka ktk vipaumbele vyake kuboresha njia za asili za maji na pia kujiandaa endapo mafuriko yatatokea..
 
Serikali iko likizo au kama sio hivyo imelala fofofo.

Hakuna hata kiongozi mmoja wa serikali, kuanzia ngazi ya wilaya i.e District Commissioner hadi wa Kitaifa Rais, aliyejitokeza kuzungumzia maafa haya au hata kuwatembelea wahanga. Aliyezungumzia ni Kamanda Kova (RPC) tena hakuwa na facts za kutosha on what is on the ground.

Aibu aibu aibu kubwa sana.

Hawa ndio viongozi wetu
 
bongo bwana mvua ya siku mbili maafa kweli dar kiburi ndio kinatuponza na ukiangalia zaidi wahanga wengi ni wale wamaeneo ya manondeni..

RIP wote mliokufa maji..
 



Imani yangu imejengeka ktk uzoefu wa JIJI kwani ni budi kuweka ktk
vipaumbele vyake kuboresha njia za asili za maji na pia kujiandaa endapo mafuriko yatatokea..

Mbona haya maneno yalishafutwa kwenye msamiati wa kiswahili hapa Tanzania
 
Majanga kama haya siyo ya leo wala jana. Kila msimu wa mvua lazima maji yalete maafa.

Imani yangu imejengeka ktk uzoefu wa JIJI kwani ni budi kuweka ktk vipaumbele vyake kuboresha njia za asili za maji na pia kujiandaa endapo mafuriko yatatokea..

sawa kabisa hapo unakuta wanajenga majengo marefu halafu hakuna system ya maji taka na mvua..
 
Serikali iko likizo au kama sio hivyo imelala fofofo.

Hakuna hata kiongozi mmoja wa serikali, kuanzia ngazi ya wilaya i.e District Commissioner hadi wa Kitaifa Rais, aliyejitokeza kuzungumzia maafa haya au hata kuwatembelea wahanga. Aliyezungumzia ni Kamanda Kova (RPC) tena hakuwa na facts za kutosha on what is on the ground.

Aibu aibu aibu kubwa sana.

Hawa ndio viongozi wetu

wameenda pyongyoung kwenye mazishi ya kim..
 
Majanga kama haya siyo ya leo wala jana. Kila msimu wa mvua lazima maji yalete maafa.

Imani yangu imejengeka ktk uzoefu wa JIJI kwani ni budi kuweka ktk vipaumbele vyake kuboresha njia za asili za maji na pia kujiandaa endapo mafuriko yatatokea..

Kwa hiyo umeona jiji letu hili tayari lina uzoefe wa kutosha wa kupamba na majanga kwa vile katika siku zilizotangulia jiji lilichukua hatua makhsus!

Kweli viwango vyetu na matarajio vipo chini sana
 
Back
Top Bottom