Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Last edited by a moderator:
Ninawapa pole wale wote waliokumbwa na maafa ya mafuriko.
Kama serikali yetu ni ya kujifunza, hili lingetosha kuwa somo.
Si kila kitu tumlaumu Mungu ili kuepuka dhamana zetu.