Mafuriko barabara ya Arusha-Karatu katika picha-Tahadhari

Daffi Jr

JF-Expert Member
Jun 25, 2011
3,825
906





ATT00004.jpg

Mwili wa marehemu Samweli Julius ambaye alikuwa ni msaidizi wa mitambo ya kutengeza barabara, ukiwa umenasa juu ya mti.
ATT00006.jpg


ATT00013.jpg


ATT00001.jpg


ATT00008.jpg


ATT00009.jpg
 
hiyo Lakrome ilipatwa na masahibu gani....?kuna watu walioumia humo....?
 
Hiyo niyo miundo mbinu walotuwekea magamba yakuatarisha maisha yetu waTz
 
Hiyo niyo miundo mbinu walotuwekea magamba yakuatarisha maisha yetu waTz


huo sio uongo..! yani jamaa wananiboa kweli yani..! kwenye mambo ya mwenge wanashadadia kinyama kisa kuna allowance lakini kwenye kudesign mambo ya muhimu jamaa wako reluctant kweli yani..! ona sasa mtu wa watu amepoteza maisha na miundo mbinu imeharibika lakini tuko huku tunakula hela za mwenge ambao umeshapunguza mwanga wake...! hadi unatembea na mafisadi na hauwamuliki tena..! nchi hii inaboa saaaanaaaaaa..!
 
dah ni hatari mi nimeona tu kwenye tv nikajua labda janga sio kubwa sana kumbe ni hatari hivi kama huyo jamaa hapo dah inaumiza aisee,ina maana hiyo barabara imejengwa chini ya kiwango ndo maana imekua rahisi kusombwa na maji?
 
Back
Top Bottom