jamani naomba mwongozo km kuna mtu anawaraka wa malipo ya waliohudhuria mafunzo ya sensa.maana cc huku wilaya ya momba.wameambiwa watalipa kwa TGS.nawasilisha.
Mkuu mwela mimi nimegoma mpaka kipengele cha dini kiwekwe.Kitambulisho cha taifa pia nitakigomea mpaka waweke kipengele cha dini kwanza.Pasport yangu nimeichoma kwasababu haina kipengele cha dini.Sitasafiri mahali popote kwasababu tiketi hazionyeshi dini ya msafiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.