chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,490
- 2,574
MorogoroWapi uko mkuu?
MorogoroWapi uko mkuu?
Vipimo tayari mkuu?mtwara jpili makao makuu kpanga kambi nakujaza form.......tuombeane
ndiooVipimo tayari mkuu?
Wa reserve imekuwaje huko mkuu. Kuna aliyepata nafac???ndioo
nao wamepata nafasi kama wengneWa reserve imekuwaje huko mkuu. Kuna aliyepata nafac???
Wakujitolea wataingia makambini wiki mbili baadaya form six.
Walikuwa wangapi mkuu, na wote wanajaza form au??nao wamepata nafasi kama wengne
Ni kweli ni kwasababu michakato inaendelea kuanzia wiki ijayo watu wata funguka sana mkuu.usihofuUzi uko kimya sana huuuu
Ngoja tuwasikizieNi kweli ni kwasababu michakato inaendelea kuanzia wiki ijayo watu wata funguka sana mkuu.usihofu
Hadi leo hii bado ngazi ya wilayaIlala bado watu tumbo joto hakijaeleweka bado ngazi ya wilaya
Ndio mkuu yaan tokea tar 21 april ndo tumeanza kuja mpaka leo hii bado hatujamaliza mchakato aisee ila j4 ndo mbivu na mbichi kujulikana wanaosonga mkoaniHadi leo hii bado ngazi ya wilaya
Kiza kinapozidi kutanda kupambazuka kuko karibu mungu awafanyie wepesiNdio mkuu yaan tokea tar 21 april ndo tumeanza kuja mpaka leo hii bado hatujamaliza mchakato aisee ila j4 ndo mbivu na mbichi kujulikana wanaosonga mkoani
Sisi tulikesha hadi na mwenge wenzenu dahKiza kinapozidi kutanda kupambazuka kuko karibu mungu awafanyie wepesi