nasri athumani
Member
- Jul 13, 2011
- 64
- 8
Hi wana jf nimekua nikitatizwa na suala hili, Kijana wakiume akitoke kumchumbia Binti wa kike mala nyingi nakawaida 2livyozoe bint wakike huwa anawekwa ndani kabla ya ndoa ili kufunzwa jinsi yakuishi na mumewe mtalajiwa, kwaajiligani huwa anangaliwa zaidi wa kike kupata elim hiyo huku wakimuachia wakiume japo atapewa baadhi yamambo lakini hatotiliwa mkazo kama wa kike?. nahaliakua kwa sasa wanaume wengi wako kwenye jangwa la kushawishika na madada ze2 na2mekua si waaminifu kwenye ndoa zetu zaid kuliko wao..?
Hivi hili mnaliangaliaje kuhusiana na Elimu hiyo kupewaupenda mmoja Zaidi?
Hivi hili mnaliangaliaje kuhusiana na Elimu hiyo kupewaupenda mmoja Zaidi?