Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Ni mwezi wa tano sasa suti yangu haijakamilika, njoo kesho au wiki ijayo ndio jibu nililokuwa napewa kila nikimuona. Ilibidi niazime suti ya kaka wakati wa sherehe iliyokusudiwa niivae hiyo suti. Leo nimeenda kudai kitambaa changu na pesa yangu, nimepigwa na mshangao baada ya kuambiwa na msaidizi wa fundi kuwa suti ilikamilika muda mrefu, lakini ikauzwa..