Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Sina kundi na wala situmiki na yeyote yule.Kama wewe unatumika siyo kila mtu.I like unity with a purpose.

Live your life with a purpose,make sure its for the better of your nation's well being.Taifa lilipofikia,ni wazi maadui wake mnajitenga dhahiri.You will be held accountable.
Hii ndio tofauti yako na wao.wao wanaamini hakuna uwezekano wakutotumika.Kwao shida si kutumika ila nani kakutumia,kwa ukweli hauwezi kuwa kweli bila kujua nani kasema na ni wakundi fulani.

Hawa jamaa ndio wale wenye mashamba ila kila siku wanaomba hata mbogamboga kwa wenzao,kwani excuse yao ni kuwa hawawezi lima kwa vile wanakuwa aktk vibarua kwa watu wengine.Hawapo tayari jitafuti ahata muda wa saa moja na kufanya kitu ktk shamba then siku zinapokwenda ndivyo kitokacho shambania kinavyoanza punguza mashinikizo ya kimaisha na mwishowe kuleta uhuru wa kifedha na chakula.

Hawakujaliwa kujua kuwa kuna kitu kama "life with purpose" na kwao hawana kitu personal wanachoweza fanya bila reward toka kwa mtu mwingine.Hawajui satisfaction pia ni reward inyopendeza sana katika roho ya amani.Na hili ndilo tatizo kwa mh ZZK, kachanganya katika ya ndoto za kimaisha ambazo kila mtu anapaswa pambana kuzifikia na "Lust".ndoto ukizifikia unapata ridhiko,ila tamaa "lust",kila stage uendeyao life inazidi kuwa meaningless na unataka zaidi.
 
Wewe usitake kujifanya kuwa hauko kwenye kundi la kina matola, tunajua wazi kuwa unatumiwa na kina Slaa kumpiga vita Zitto.
Wewe Pimbi mimi siyo Mwanachama wa Chadema sasa inakuwaje unaniingiza kwenye makundi ya ya Chadema!? Fanculo.
 
watu wenye mawazofinyu,wakipata bahati ya kupata ufafanuzi wa mambo mhimu ya mambo ya jamii yao,kutoka kwa watu wenye deep thinking kama ndugu zito,huanza kumtusi na kutowa maneno ambayo huakiki ujinga wao.ndugu zito ametowa analysis makini sana.nina wasisi sana na CV ya mchangiaji wa kwanza.huyu jamaa anamawazo finyu kama niliyokuwa nayo darasa la pili.
 
watu wenye mawazofinyu,wakipata bahati ya kupata ufafanuzi wa mambo mhimu ya mambo ya jamii yao,kutoka kwa watu wenye deep thinking kama ndugu zito,huanza kumtusi na kutowa maneno ambayo huakiki ujinga wao.ndugu zito ametowa analysis makini sana.nina wasisi sana na CV ya mchangiaji wa kwanza.huyu jamaa anamawazo finyu kama niliyokuwa nayo darasa la pili.

Tatizo hapa ni udhaifu wa kifikra wa wapambe na huyo mh zzk.Hakuna mtu atakayependa na nchi nzima akosea hata adui 40 na critics wa kutosha(hawa critics ni wale wanaopenda afanya ekila kitu 100% bila kosa).Sasa kama hicho nndicho kiwalizacho sidhani kama hata nastahili poteza muda wa watu.

Mimi(critic by nature with great realistic stands) ningependa mh ZZK aje na fikra pana na mbadala aonyeshe kinachofuel uadui.hayo mamabo ya gap nimeshasema ktk mchango wa hapa awali.Naamini anafahamu mtu akisema "bei ya bidhaa anapata picture gani?". Yaani ni ile bei ambayo mnunuzi yupo tayari kununua na mnunuzi yupo tayari kuuza.Na hii ukiondoa watu walio desperate, wenye pesa za kuchezea au walioshinikizwa na nature ya bidhaa au shida nyingine.

Kwa vyovyote vile matajiri na masikini wanafikia common ground in a lot of things, kuwa na matajiri responsible ktk nchi si uovu au unyonyaji kama wengi wetu washindwavyo pata concept.Hata Yesu aliposema kuwa ni rahisi ngamia kupita ktk tundu la sindano kuliko tajiri kuingi ktk ufalme wa Mungu.Hakusema ni impossible ina ni ngumu.Ni ngumu kutokana na jinsi mali inavyolevya na kuharibu nafsi zetu.Sidhani km hata mhe ZZK naye akijiangalia haoni wapi naye nafsi iliharibiwa akilinganisha na kipindi anatoka chuo na kuingia rasmi katk siasa hadi hapa alipo sasa.Ki uhasilia mtajiri wasio hamisha hela nje ya nchi na wanaofany akzi kwa ufanisi huku wakifuata misngi ya haki za binadamu na kutunza mazingira, si kitu tofauti sana na kuwa wasimamizi wa mali ya umma,ingawa ni yao.

Tajiri anayetimiza wajibu wake ktk jamii husika huku akihakikisha mafanikio ya miradi yake kwa vizazi vingi, hana popote anapoweza tumia hiyo hela yote anayoingiza kama faida.Hana tofauti na gavana anayelipwa hela nyingi kwa kazi aifanyayo bila kupewa madaraka ya kiserikali.Watu kama hawa huwa sehemu ya jamii na hupendwa sana(hichi ndicho kitu pekee wanatakacho enjoy zaidi ya hela kwani hawawezi kula zaidi ya kiasi chao cha mwili, na pesa yao ndio izungakayo ktk nchi).Zitto kakwepa vitu vya msingi sana ktk huu mgogoro.Mbali na kutolishika vizuri suala la ridhiko, na maridhiano pia MAJIBU YA MATATIZO HANA.hapa wengi watang`aka sana ila kwa watu ambao ni hatupindishi mambo ni ngumu kukuacha kirahisi.
 
Wanabodi!

Naomba kutoa taarifa kuwa kuna watu wame-hack password yangu ya JF hapa jukwaa na kupost vitu ambavyo ni vya ajabu ajabu.
Naomba kuchukua nafasi hii kutoa taarifa hii rasmi kuwa comment zote zilizotangulia awali kwenye thread hii sio zangu bali ni maoni ya hao watu wenye malengo wanayoyajua wao wenyewe kwa manufaa ya misimamo yao.

Nawasiliana na JF Admin kwaajili kurekebisha tatizo hili.
 
Wanabodi!

Naomba kutoa taarifa kuwa kuna watu wame-hack password yangu ya JF hapa jukwaa na kupost vitu ambavyo ni vya ajabu ajabu.
Naomba kuchukua nafasi hii kutoa taarifa hii rasmi kuwa comment zote zilizotangulia awali kwenye thread hii sio zangu bali ni maoni ya hao watu wenye malengo wanayoyajua wao wenyewe kwa manufaa ya misimamo yao.

Nawasiliana na JF Admin kwaajili kurekebisha tatizo hili.

Pole sana gemmy tatizo la hapa jf kuna watu hawajiamini kusimama hadharani kutoa maoni yao peupe kazi yao ni ku-hack id za watu ili kuchafua viongozi wa CdM. Bila kutafuna maneno aliyefanya huu mchezo ni MCHANGE n a kwa taarifa yake amegundulika'

Yeye yumo ndani ya cdm kama anaona mambo sio mambo cdm si atoke kwa amani sio analeta ujanja wa kutumia id za watu kumtukana Mbowe na BAVICHA kwa ujumla.
Wtz bwana ndomana hatuwezi kukombolewa kwsababu ya unafki wetu badala tuungane kawatokomeza maadui sasa mijitu inaanza kugombana yenyewe kwa yenyewe.
 
Back
Top Bottom