William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
1. au tujiunge humo humo na kula nao "sahani moja".
2. Huko tunakokwenda neutrality is not an option!
3. Je tujiunge nao ili tuwabomoe kutoka "ndani"?[/QUOTE]
- Kwa maoni yangu haya matatu ndio solution, kama kweli unaielewa vizuri sana reality ya mazingira ya siasa yetu ya bongo sasa hivi, uwezekano wa kubadilishwa katiba ni very slim na bila katiba kubadilika mabadiliko ya jumla ni ndoto ya muda mrefu sana, bado tunasumbuliwa na ukabila, udini, undugu, kujuana, ndio maana ukimtoa Lowassa u-PM, bado atapokewa kishujaa jimboni kwake,
- Juzi nilikuwa naongea na kiongozi mmoja wa juu kutoka jimbo la Chenge, yaani mpaka unatamani kulia machozi ambavyo haelewi what is wrong with Chenge kwamba anaandamwa sana bila sababu! Sasa hebu mwambie Shukuru Kawambwa na Said Mwema kwamba Muungwana hafai, sijui itakuwaje, Tanzania tuna mengi sana ya ku-overcome kabla ya kufikia ufisadi, maana ni lazima uvuke haya ya udini, ukabila na kujuana ndio uweze kutokomeza ufisadi na mafisadi,
- Siku hizi bongo imezuka EPA mpya, nayo ni safari za nje zisizokwisha kwa viongozi na maofisa wa serikali, wakiongozwa na Muungwana mwenyewe, I mean this EPA is worse kuliko hata EPA yenyewe, leave alone ufisadi ndugu zangu tuna safari ndefu sana, dawa kwa maoni yangu ni kama principle ya kina Bush's Family, kutafuta hela kwanza and then kuingia siasa ukiwa huna njaa na kuwabadilikia humo humo ndani! Kkubali ukweli sio kushindwa ila ni kujipa nafasi ya kujipanga upya ili ushinde next time, kumbuka it is not how you fall, ila umeangukia wapi!
Otherwise, Mkulu MMJ you nailed it!
Respect.
FMES!