Mafisadi wasaka uchawi Nigeria

Ulimbo

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
3,767
4,035
Mafisadi wameamua kutafuta mgaga Nchini Nigeria ili kuwafanya mazezeta wale wanaopambana na ufisadi

Source: Sema usikike
 
Mafisadi wameamua kutafuta mgaga Nchini Nigeria ili kuwafanya mazezeta wale wanaopambana na ufisadi

Source: Sema usikike

mbona wameenda mbali sana, si wangeenda bwagamoyo tu...au wamuulize muungwana yale mapete alikuwa akivaa wakati wa uchaguzi aliyatoa wapi...anaweza kuwapa mawazo...
 
mbona wameenda mbali sana, si wangeenda bwagamoyo tu...au wamuulize muungwana yale mapete alikuwa akivaa wakati wa uchaguzi aliyatoa wapi...anaweza kuwapa mawazo...

Nadhani wameona wavuke mipaka kwani hapa Bagamoyo naona watagongana humo maana kikisha fika kipindi cha uchanguzi, basi mambo yanakuwa si mambo.
 
Back
Top Bottom