Lusajo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 456
- 30
--------------------------------------------------------------------------------
(Mod's naomba muiache/muipe muda kabla ya kuichanganya na nyingine)
Nimeona niandike hii hapa inaweza kuwa njia ambayo itakuwa ni win win situation kati ya mafisadi (Wahujumu uchumi) na wananchi wa nchi niipendayo Tanzania. Mafisadi waachiwe/ wapewe adhabu ndogo.
Nimetoka kuangalia movie ya American Gangster ambayo muigizaji wake Frank Lucas (Denzel Washington) aliambiwa the only way atapata adhabu ndogo ya kifungo chake ni (ku-snitch) kutaja mali zake zoote popote pale zilipo, na pia kutaja pesa zake zoote popote pale zilipo duniani, akidanganya na asipotaja mali/cash zake zoote hata senti tano atakaa jela maisha yake yoote na pia akificha kutowaambia kuhusu mtu yeyote waliohusika naye kwenye deals alizokuwa akifanya na hapo pia hata kaa kuliona jua (Yaani atafungwa maisha.
Sasa nilichoona ni kwamba sidhani kama mafisadi (wahujumu uchumi) wanapenda kufungwa miaka mingi au hata kwenda jela, kwa hiyo Raisi/DPP/UWT/____ na wengine walioanza hii vita dhidi ya hao watu wakate nao dili kwamba mafisadi (wahujumu Uchumi) waredishe mali/pesa zoote labda waachiwe nyumba waliyokuwa nayo zamani hata 1 (warudisha nyumba na hela zoote ndani na nje ya Tanzania) yaani pesa/mali zoote bila kukosea hata moja, na ikigundulika kwamba kadanganya ndio adhabu yake iwe kali sana. Na hiyo dili ya kurudisha mali pia wahusishwe na ndugu zao woote waliofaidika na ufisadi, maana nimesikia wengine wajukuu zao wana mabilioni kwenye akaunti (sasa sijui wanakoishi miti inazaa mela?) na wengine wamewapa ndugu zao deals ambazo mishahara wanayolipwa ni ya ajabu kwenye nchi ambayo inaitwa masikini na iko "dunia ya tatu".
Na majengo pia yarudishwe kwa sababu hela waliyoiba ndio imewapa faida ya kuweza kununua hivyo vitu kwa hiyo mtu yeyote atakayekubaliana na hayo masharti ndio apewe miezi/miaka kadhaa Keko au aachiwe kutokana na makosa yake (kwa sababu hawakufanya ujambazi wa kushika silaha, kwamba wanaweza kuua mtu wakitoka) ingawa wamesababisha matatizo kwa njia moja au nyingine na pia wapewe probation ya kutokutoka nje ya nchi pamoja na kujihusisha na mambo fulani kwa muda fulani.
NB:
(Mod's naomba muiache/muipe muda kabla ya kuichanganya na nyingine)
Nimeona niandike hii hapa inaweza kuwa njia ambayo itakuwa ni win win situation kati ya mafisadi (Wahujumu uchumi) na wananchi wa nchi niipendayo Tanzania. Mafisadi waachiwe/ wapewe adhabu ndogo.
Nimetoka kuangalia movie ya American Gangster ambayo muigizaji wake Frank Lucas (Denzel Washington) aliambiwa the only way atapata adhabu ndogo ya kifungo chake ni (ku-snitch) kutaja mali zake zoote popote pale zilipo, na pia kutaja pesa zake zoote popote pale zilipo duniani, akidanganya na asipotaja mali/cash zake zoote hata senti tano atakaa jela maisha yake yoote na pia akificha kutowaambia kuhusu mtu yeyote waliohusika naye kwenye deals alizokuwa akifanya na hapo pia hata kaa kuliona jua (Yaani atafungwa maisha.
Sasa nilichoona ni kwamba sidhani kama mafisadi (wahujumu uchumi) wanapenda kufungwa miaka mingi au hata kwenda jela, kwa hiyo Raisi/DPP/UWT/____ na wengine walioanza hii vita dhidi ya hao watu wakate nao dili kwamba mafisadi (wahujumu Uchumi) waredishe mali/pesa zoote labda waachiwe nyumba waliyokuwa nayo zamani hata 1 (warudisha nyumba na hela zoote ndani na nje ya Tanzania) yaani pesa/mali zoote bila kukosea hata moja, na ikigundulika kwamba kadanganya ndio adhabu yake iwe kali sana. Na hiyo dili ya kurudisha mali pia wahusishwe na ndugu zao woote waliofaidika na ufisadi, maana nimesikia wengine wajukuu zao wana mabilioni kwenye akaunti (sasa sijui wanakoishi miti inazaa mela?) na wengine wamewapa ndugu zao deals ambazo mishahara wanayolipwa ni ya ajabu kwenye nchi ambayo inaitwa masikini na iko "dunia ya tatu".
Na majengo pia yarudishwe kwa sababu hela waliyoiba ndio imewapa faida ya kuweza kununua hivyo vitu kwa hiyo mtu yeyote atakayekubaliana na hayo masharti ndio apewe miezi/miaka kadhaa Keko au aachiwe kutokana na makosa yake (kwa sababu hawakufanya ujambazi wa kushika silaha, kwamba wanaweza kuua mtu wakitoka) ingawa wamesababisha matatizo kwa njia moja au nyingine na pia wapewe probation ya kutokutoka nje ya nchi pamoja na kujihusisha na mambo fulani kwa muda fulani.
NB:
- Haya ni mawazo yangu tuu wanajamii mnaweza kuyakubali/kuyapinga/kuongezea au kupunguza kitu chochote unavyoona ni fit kwenye hili suala kwa sababu cha muhimu ni fedha/mali zirudi na hivyo vitu ndivyo vitakuwa njia nzuri ya kunegotiate nao, kwa sababu kuna maana gani kuwafunga miaka mingi na hela/mali yenyewe isiwe imerudishwa kwa ajili ya maendeleo ya wa-Tanzania?.
- Kama utaona nimetumia neno (Wahujumu wa Uchumi) kwenye mafisadi ili kosa lao lionekane ni kubwa zaidi ya sasa hivi wanavyoitwa mafisadi na nadhani adhabu ya muhujumu uchumi ni kubwa na kuna watu walisema haina mdhamana (yaani ukikaa ndani utakaa tu mpaka kesi iishe) tofauti na fisadi (whwrever this fisadi is!) =Thanks to Mzee Mwanakijiji on this one.