wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Naomba tujadili issue iliyokuwa raised. Hapa nilipo ninayo PPA lakini nadhani huko PPRA nako kumejaa ufisadi zaidi
Dowans ruling bares Dar
wabaya wenu ni hawa hapa nimeshindwa kupost picha zao:
PPRA::Board of Directors
so weird hawa walitakiwa wawe na meno ya kuuma PPA inapochezewa wao ahhh hawajali
watendaji ni hawa hapa:
Management
Jiulizeni, imewezekana vipi BRELA wampe mtu tenda ya SOFTWARE ya kuregister kampuni online na kufanya filing online ya milioni 800 BILA kutangaza TENDA?
Halafu jamaa anakuwambia eti it will take 3 days kuregister kampuni!!!!!!!!!!!!!!!!
as far as I know ni kuwa SOFTWARE kama iko up and running it should only take 1 hr to register a company
Of course PPRA na wenzao wanafanya semina tuu kila kukicha!!
Lakini naweza nikawapa 100 % kwa kuwa na the BEST WEBSITE out there...sidhani kamakuna idara yoyote serikalini ina website nzuri kama hii...including Mambo ya Nje
Dowans ruling bares Dar
wabaya wenu ni hawa hapa nimeshindwa kupost picha zao:
PPRA::Board of Directors
so weird hawa walitakiwa wawe na meno ya kuuma PPA inapochezewa wao ahhh hawajali
watendaji ni hawa hapa:
Management
Jiulizeni, imewezekana vipi BRELA wampe mtu tenda ya SOFTWARE ya kuregister kampuni online na kufanya filing online ya milioni 800 BILA kutangaza TENDA?
Halafu jamaa anakuwambia eti it will take 3 days kuregister kampuni!!!!!!!!!!!!!!!!
as far as I know ni kuwa SOFTWARE kama iko up and running it should only take 1 hr to register a company
Of course PPRA na wenzao wanafanya semina tuu kila kukicha!!
Lakini naweza nikawapa 100 % kwa kuwa na the BEST WEBSITE out there...sidhani kamakuna idara yoyote serikalini ina website nzuri kama hii...including Mambo ya Nje