Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,185
- 79,366
Kutokana na tabia iliyojitokeza hivi karibuni wananchi kurubuniwa na fedha na kutowapigia kura wazalendo wa nchi hii wenye kusimamia maslahi ya walala hoi. Je mnaonaje kuhusu hii poll naomba tushirikiane kuwahimiza wapiganaji Seleli na Shelukindo waingie Chadema! Tunaweza sasa! Wapeni moyo wapiganaji, hebu fikiria Bunge linalokuja litakuwaje? kuna mtu atathubutu kukemea CCM ilhali ni Mbunge wa CCM? Hivi hii nchi inaenda wapi? Inahitajika busara ya wapiga kura kufahamu mustakabali wa nchi hii! Mbaya ni kwamba wana Kyela (wapiga kura wenye msimamo) wako wachache sana katika nchi hii! Shime jamani we need these people! Wakina Shibuda, Lembeli, Mpendazoe, Kimaro, Seleli, Shelukindo, Mwakyembe na Zitto ni muhimu wakati woote Bungeni kwa vile wamebarikiwa! How can a spoon-fed January Makamba beat Shelukindo? Hizo ni fitna jamani ni fitna za EL na RA! Jamani hii nchi haina wenyewe? by the way Mwakyembe unafanya nini CCM? au mtu wa usalama wewe? angalia nyakati safari hii watakuondoa kabisa hapa Duniani last time walikukosakosa, ukiongea tu bunge lijalo baba tutakusahau!
NOTE: halafu naomba moderator abadili neno save to serve! si unajua mambo ya kwenda shule za kata ungeli unanipiga chenga na neno representativeness to seats
NOTE: halafu naomba moderator abadili neno save to serve! si unajua mambo ya kwenda shule za kata ungeli unanipiga chenga na neno representativeness to seats