HAKI bin AMANI
Senior Member
- Sep 5, 2011
- 156
- 34
Muda ulishafika siku nyingi. Tatizo ni kukosekana mwenyekiti makini na mwenye ujasiri wa kutoa maamuzi magumu, siyo huyu ambaye naye ananuka ufisadi kuliko hata watuhumiwa.
Rais msanii mwenye uwezo wa kuigiza jinsi ya kukasirika na kucheka kwa wakati mmoja.